Uzi maalumu wa kujua gharama za ujenzi wa majengo mbalimbali

Uzi maalumu wa kujua gharama za ujenzi wa majengo mbalimbali

Unaweza kufanya hivi;
1. Kulipa kwa kutwa bei ya fundi ni 20, 000
Hadi 30,000. Na fundi msaidizi wake ni 10k hadi 15k inategemea ubora na speed ya fundi.

2. Unaweza kulipa kwa tofali bei sh 300 hadi 400
 
Unaweza kufanya hivi;
1. Kulipa kwa kutwa bei ya fundi ni 20, 000
Hadi 30,000. Na fundi msaidizi wake ni 10k hadi 15k inategemea ubora na speed ya fundi.

2. Unaweza kulipa kwa tofali bei sh 300 hadi 400
Asante mkuu,lakini hii Kwa siku,je fundi hawezi kufanya uvivu ili mradi siku ziende au zisogee mbele ili mradi apate fedha nyingi.

Je kuhusu kumuuzia Kazi ,kwamba let's kuchimba msingi mpaka kuweka zege na kukamilika labda kiasi kadhaa so unampa advance then akimaliza hiyo stage unammalizia je imekaaje hiyo

Na je kipi Bora Kwa maoni yako mkuu,Kati ya kulipa Kwa siku au kuuza kazi?
 
Asante mkuu,lakini hii Kwa siku,je fundi hawezi kufanya uvivu ili mradi siku ziende au zisogee mbele ili mradi apate fedha nyingi.

Je kuhusu kumuuzia Kazi ,kwamba let's kuchimba msingi mpaka kuweka zege na kukamilika labda kiasi kadhaa so unampa advance then akimaliza hiyo stage unammalizia je imekaaje hiyo

Na je kipi Bora Kwa maoni yako mkuu,Kati ya kulipa Kwa siku au kuuza kazi?
Ungenipa ramani ningekuchambulia bajeti yote;
1. Idadi ya tofali
2. Cement
3. Nondo na bei ya kazi utakayopatania

Note: ujenzi wa tofali, tofali za kusimama huwa kutwa fundi anapaswa kujenga sio chini ya tofali 120
 
Ungenipa ramani ningekuchambulia bajeti yote;
1. Idadi ya tofali
2. Cement
3. Nondo na bei ya kazi utakayopatania

Note: ujenzi wa tofali, tofali za kusimama huwa kutwa fundi anapaswa kujenga sio chini ya tofali 120
Okay asante walau nimepata picha Kwamba kuna idadi Fulani ya tofali Kwa siku

Sawa baada ya marekebisho nitaangalia uwezekano WA kuipost mkuu

Shukrani Kwa ushirikiano wako
 
Umesema vyema.

Ikiwa vipi pia anaweza kulipa kwa bei ya tofali moja ni sh 300 hadi 400.

Kutwa ni sh 20,000 hadi 30,000.

Inategemea na ubora na speed ya fundi
Kweli sisi mafundi tunadharaulika Sana. Eti fundi analipwa 20000 YAANI mmetupangia na bei kabisa.
 
Wakuu Nina swali dogo la nyongeza

Je wastani katika kupandisha kozi,wastani wa mfuko mmoja unaweza kutumia matofali mangapi
 
na ndivyo wanavyofanya, wala usithubutu hii njia,

ile ya lumpsum ( unaigawa kila kipande cha kazi kikiisha ) ndiyo iko njema
Asante mkuu

Hii niliona kipindi Fulani huko nyuma baada ya kumaliza a level nilipata kazi ya store keeper katika kampuni Fulani,wakati mafundi wanajenga ghorofa niliona haya mambo ya kudelay
 
Huenda amezungumzia uzoefu mkuu na sio kuwa kuwadharau,huenda hizo ndio bei za mafundi wengi huko mtaani.

Wewe kama hutojali kusema unadhani mnastahili Kulipwa ngapi?
Tafuta fundi mzuri. Patana nae kuhusu foundation. Gharama itarange Kati ya 800000 - 1500000 kulingana na eneo. Achana na mafundi njaa watakuharibia nyumba. Gharama hizi ni Kawa mkoa wa dar. Sijui mikoani mafundi wazuri wanalipwaje.
 
Tafuta fundi mzuri. Patana nae kuhusu foundation. Gharama itarange Kati ya 800000 - 1500000 kulingana na eneo. Achana na mafundi njaa watakuharibia nyumba. Gharama hizi ni Kawa mkoa wa dar. Sijui mikoani mafundi wazuri wanalipwaje.
Sawa mkuu umeeleweka

Nashukuru Kwa tathimini yako napata picha ya mapatano katika bei

Unaweza nisaidia tathimini pia kupandisha pagale mkuu na kama finishing naweza pata makadirio nitashukuru pia
 
Sawa mkuu umeeleweka

Nashukuru Kwa tathimini yako napata picha ya mapatano katika bei

Unaweza nisaidia tathimini pia kupandisha pagale mkuu na kama finishing naweza pata makadirio nitashukuru pia
Sawa. Site Iko wapi? Ingependeza nifike site nione na mchoro. Hapo nitaweza kutoa quotation sahihi
 
Back
Top Bottom