Uzi maalumu wa kujua gharama za ujenzi wa majengo mbalimbali

Uzi maalumu wa kujua gharama za ujenzi wa majengo mbalimbali

Habari zenu, Naomba kujuzwa rough estimate za kujenga nyumba ya maelezo hayo hapo chini;
1. Ya kisasa kidogo
2. Size: Plot ya 18x25
3. Eneo: Moshono, Arusha (kwa Laizer)

Hitaji:👇
  • 1 Master Bedroom
  • 2 Bedrooms ( Zote 2 Self Contained)
  • Sitting Room
  • Open Kitchen + Store
  • Dinning
  • Public Bathroom + Toilet
* Kupauwa napauwa na Mabati mgongo mpana.

🙏 Tafadhali naombeni makadirio ya kuanzia chini hadi nyumba kupauliwa.

NOTE: Natashukuru pia kupendekezewa mchoraji mzuri asiye na gharama... Na Mjenzi kwa maeneo ya Arusha ambye mwaminifu.

🙏 NATANGULIZA SHUKRANI ZANGU.
Njoo pm haraka
 
Mimi nilijenga nyumba ya 4 bedrooms na kwa specifications karibu sawa na ulizotoa hapo juu mwaka 2019 hapa Iringa. Gharama zote na kuingia ndani kuishi ikiwa complete kwa matofali ya block ya cement nilitumia 122,000,000/-
Iyo pesa najenga nyumba mbili na kununua viwanja vyake

Hesabu roughly

Tofali za kuchoma 18000 kama 2.3m

Fundi kujenga 1.6m

Msingi na mazaga mengine inafika m8 na kitu

Paa.

Bati 124 za mita 3 alaf 5m

Mbao 1.5

Fundi 800k

Fisha body na misumari na gharama nyingine inakaribia m9
 
Andaa million 90 mpaka 130. 4 bedroom house ni nyumba kubwa. .

Mie nimejenga apartment chumba choo, sebule choo na jiko la dining. Zifatane ziwe nne. .

Nimemaliza million 80 na bado nyumba sijafanyia finishing. Ujenzi unategemea na ulipo siku zote na design ya nyumba unayotaka. .

Mpangaji mmoja vipimo vya ndani kwa ndani ni ft 16 kwa ft 26.5 sasa hapo zidisha kwa 4. .


Nyumba yangu ndogo ambayo ni 2 bedroom, sebule plus kitchen nimetumia million 69 mpaka finishing kuisha. .
 
Andaa million 90 mpaka 130. 4 bedroom house ni nyumba kubwa. .

Mie nimejenga apartment chumba choo, sebule choo na jiko la dining. Zifatane ziwe nne. .

Nimemaliza million 80 na bado nyumba sijafanyia finishing. Ujenzi unategemea na ulipo siku zote na design ya nyumba unayotaka. .

Mpangaji mmoja vipimo vya ndani kwa ndani ni ft 16 kwa ft 26.5 sasa hapo zidisha kwa 4. .


Nyumba yangu ndogo ambayo ni 2 bedroom, sebule plus kitchen nimetumia million 69 mpaka finishing kuisha. .
[emoji706]
 
Mimi nilijenga nyumba ya 4 bedrooms na kwa specifications karibu sawa na ulizotoa hapo juu mwaka 2019 hapa Iringa. Gharama zote na kuingia ndani kuishi ikiwa complete kwa matofali ya block ya cement nilitumia 122,000,000/-
Mkuu ulijenga kanisa?
 
Mimi nilijenga nyumba ya 4 bedrooms na kwa specifications karibu sawa na ulizotoa hapo juu mwaka 2019 hapa Iringa. Gharama zote na kuingia ndani kuishi ikiwa complete kwa matofali ya block ya cement nilitumia 122,000,000/-
Ulijenga angani au wapi? Mimi nilij3nga nyumba ya 3bedrooms na nyingine 2bedroom tatu nilitumia 100M.

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Mimi nilijenga nyumba ya 4 bedrooms na kwa specifications karibu sawa na ulizotoa hapo juu mwaka 2019 hapa Iringa. Gharama zote na kuingia ndani kuishi ikiwa complete kwa matofali ya block ya cement nilitumia 122,000,000/-
Hii itakuww materials za finishing umetumia za uhakika kama ni tiles ni spanish na dirisha ni pvc au ile ya mbao yenye mouldings milango mninga na ukuta +peving inclusive
 
Nashukuru..naona kuna uhalisia hapa. Budget yangu mpaka kupauwa ni TZS 24ML. Plan yangu ni kwamba by the time napauwa nitakua na 10ml ambayo nitaanza nayo finishing nianze kuingia... Mengine nitamalizia nikiwa ndani
Kila la kheri mkuu
 
Nikiona nyumba mpya kwa Laizer nakuja kugonga hodi 😅😅
 
[emoji16][emoji16]Nimejikuta ninatabasamu baada ya kugundua kuwa, kila nikihama kwenda mkoa mwingine, huwa ninahama na nyumba yangu indirectly. Inauzwa kule, inajengwa huku
 
Hii itakuww materials za finishing umetumia za uhakika kama ni tiles ni spanish na dirisha ni pvc au ile ya mbao yenye mouldings milango mninga na ukuta +peving inclusive
Kajenga kwa free budget huyu. Mimi yangu ni limited. Nyumba ya kwanza, sihitaji mbwembwe. Najenga kupata experience kwanza. Kama pilot project kisha nijenge nyumba ya kustaafia. Finishing yangu katika hii ya kwanza nitafanya kawaida, ila siweki kitu chochote mchina. Tiles Spanish, Vifaa jikoni, bafuni Germany
 
Habari zenu, Naomba kujuzwa rough estimate za kujenga nyumba ya maelezo hayo hapo chini;
1. Ya kisasa kidogo
2. Size: Plot ya 18x25
3. Eneo: Moshono, Arusha (kwa Laizer)

Hitaji:👇
  • 1 Master Bedroom
  • 2 Bedrooms ( Zote 2 Self Contained)
  • Sitting Room
  • Open Kitchen + Store
  • Dinning
  • Public Bathroom + Toilet
* Kupauwa napauwa na Mabati mgongo mpana.

🙏 Tafadhali naombeni makadirio ya kuanzia chini hadi nyumba kupauliwa.

NOTE: Natashukuru pia kupendekezewa mchoraji mzuri asiye na gharama... Na Mjenzi kwa maeneo ya Arusha ambye mwaminifu.

🙏 NATANGULIZA SHUKRANI ZANGU.
Million 250 mkuu
 
Back
Top Bottom