hassyna
Member
- Nov 12, 2022
- 8
- 5
naomba namba yako ya whatsaap tuongee vizuri maana huko ku pm sijui ndo nn ndokwanza nimeingia leo humuNi pm ramani zipo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
naomba namba yako ya whatsaap tuongee vizuri maana huko ku pm sijui ndo nn ndokwanza nimeingia leo humuNi pm ramani zipo
NYumba zatofautiana ubora. Ya kwake 122 nyumba moja..wewe unatoa mbili, mwingine anatoa hata 5 kwa bei hiyo hiyoIyo pesa najenga nyumba mbili na kununua viwanja vyake
Hesabu roughly
Tofali za kuchoma 18000 kama 2.3m
Fundi kujenga 1.6m
Msingi na mazaga mengine inafika m8 na kitu
Paa.
Bati 124 za mita 3 alaf 5m
Mbao 1.5
Fundi 800k
Fisha body na misumari na gharama nyingine inakaribia m9
Hapo kama umeshaweka plan za spanish, german hiyo sio nyumba simpo tena ni bajeti kwelikweli uandae..otherwise ukutane na matapeli wakupe mchina wakikudanganya ni mjerumaniKajenga kwa free budget huyu. Mimi yangu ni limited. Nyumba ya kwanza, sihitaji mbwembwe. Najenga kupata experience kwanza. Kama pilot project kisha nijenge nyumba ya kustaafia. Finishing yangu katika hii ya kwanza nitafanya kawaida, ila siweki kitu chochote mchina. Tiles Spanish, Vifaa jikoni, bafuni Germany
Mimi nilijenga nyumba ya 4 bedrooms na kwa specifications karibu sawa na ulizotoa hapo juu mwaka 2019 hapa Iringa. Gharama zote na kuingia ndani kuishi ikiwa complete kwa matofali ya block ya cement nilitumia 122,000,000/-
Mkuu ulijenga kanisa?
Kama utamkwepa mchina hakuna namna hautofika 100m au kuikaribia na pengine huenda ukazidi hiyo by far. No wayKajenga kwa free budget huyu. Mimi yangu ni limited. Nyumba ya kwanza, sihitaji mbwembwe. Najenga kupata experience kwanza. Kama pilot project kisha nijenge nyumba ya kustaafia. Finishing yangu katika hii ya kwanza nitafanya kawaida, ila siweki kitu chochote mchina. Tiles Spanish, Vifaa jikoni, bafuni Germany
Msaada pptHabari zenu, Naomba kujuzwa rough estimate za kujenga nyumba ya maelezo hayo hapo chini;
1. Ya kisasa kidogo
2. Size: Plot ya 18x25
3. Eneo: Moshono, Arusha (kwa Laizer)
Hitaji:[emoji116]
* Kupauwa napauwa na Mabati mgongo mpana.
- 1 Master Bedroom
- 2 Bedrooms ( Zote 2 Self Contained)
- Sitting Room
- Open Kitchen + Store
- Dinning
- Public Bathroom + Toilet
[emoji120] Tafadhali naombeni makadirio ya kuanzia chini hadi nyumba kupauliwa.
NOTE: Natashukuru pia kupendekezewa mchoraji mzuri asiye na gharama... Na Mjenzi kwa maeneo ya Arusha ambye mwaminifu.
[emoji120] NATANGULIZA SHUKRANI ZANGU.
Huyo Peter msechu kapiga picha kwenye geti tu hahahaa ,angepiga picha full mjengo.Mcheki Peter Msechu
Kabisa kwa watu wasiowai kujenga hawawezi kuelewa.NYumba zatofautiana ubora. Ya kwake 122 nyumba moja..wewe unatoa mbili, mwingine anatoa hata 5 kwa bei hiyo hiyo
Hongera mkuu. Mimi huwa napenda sana watu wanaofanya vitu vya maendeleo.Habari zenu, Naomba kujuzwa rough estimate za kujenga nyumba ya maelezo hayo hapo chini;
1. Ya kisasa kidogo
2. Size: Plot ya 18x25
3. Eneo: Moshono, Arusha (kwa Laizer)
Hitaji:👇
* Kupauwa napauwa na Mabati mgongo mpana.
- 1 Master Bedroom
- 2 Bedrooms ( Zote 2 Self Contained)
- Sitting Room
- Open Kitchen + Store
- Dinning
- Public Bathroom + Toilet
🙏 Tafadhali naombeni makadirio ya kuanzia chini hadi nyumba kupauliwa.
NOTE: Natashukuru pia kupendekezewa mchoraji mzuri asiye na gharama... Na Mjenzi kwa maeneo ya Arusha ambye mwaminifu.
🙏 NATANGULIZA SHUKRANI ZANGU.
Hili desa limejaa madini kibao. Umedadavua kinagaubaga. Umegusa kotekote low vs full budgetKabisa kwa watu wasiowai kujenga hawawezi kuelewa.
Nyumba zinatofautiana ubora kabisa.
-Kuna mwingine atatumia tofali zenye mawe nchi 6 ,mwingine atatumia tofali ubuyu za nchi 5
-Mwingine atatumia nondo za 12mm kupiga mkanda ,mwingine 16mm ,mwingine hafungi mkanda kabisa au mwingine anapiga jamvi.
-Mwingine Mkanda anaweka 6" ,mwingine mkanda 8"
-Mwingine atatumia kokoto za msolwa ,mwingine atatumia ubuyu wa kunduchi mtongani.
-Mwingine atatumia tywod tiles ,mwingine atatumia spanish
-Mwingine attumia mbao treated ,mwingine atatumia mbao zilipigwa rangi ya ukili.
-Mwingine atatumia Gypsum za Thailand ,mwingine atatumia BBG.
-Mwingine atatumia rangi ya Billion au Matemba ,Mwingine atatumia Goldstar.
-Mwingine atatumia SSP ,mwingine atatumia Andika Powder.
-Mwingine atatumia Milango ya mninga ,mwingine atatumia milango "seplasi" iliyopigwa rangi ya mchongo.
-Mwingine atatumia kitasa cha orando ,mwingine Obama.
-Mwingien atatumia drewa ,mwingine weather guard
-Mwingine madirisha atapiga flat bar ,mwingine atapiga nondo.
-Mwingine atatumia alaf ,mwingine bati bomba
Kwahiyo umeeleza ukweli yeye ametumia 122m kujenga hiyo nyumba ,kuna wengine kina Jimmy Mafufu alitumia zaidi ya 200m na nyumba bado haijaisha na pia akienda kule charambe kwenye jenga uza hiyo 122m anaweza kujenga hata 7.
Unapatikana wapi mkuu nikupe kazi?Toa maelezo vizuri ni 3bedroom au 4bedroom na Kama haujapata mchoraji nicheki tumalzie kazi
Nipo Dar bossUnapatikana wapi mkuu nikupe kazi?
Bila shaka nyie ndo mlijenga kile kibanda cha mlinzi kwa mil 12.Mimi nilijenga nyumba ya 4 bedrooms na kwa specifications karibu sawa na ulizotoa hapo juu mwaka 2019 hapa Iringa. Gharama zote na kuingia ndani kuishi ikiwa complete kwa matofali ya block ya cement nilitumia 122,000,000/-
Mi nakuelewa nimejenga nyumba vyumba vinne mwaka huu ndio namalizia gharama zimepanda sana imefika zaidi ya milioni 150. Watu watabisha ila huo ndio ukweli.Mimi nilijenga nyumba ya 4 bedrooms na kwa specifications karibu sawa na ulizotoa hapo juu mwaka 2019 hapa Iringa. Gharama zote na kuingia ndani kuishi ikiwa complete kwa matofali ya block ya cement nilitumia 122,000,000/-
Mi nakuelewa nimejenga nyumba vyumba vinne mwaka huu ndio namalizia gharama zimepanda sana imefika zaidi ya milioni 150. Watu watabisha ila huo ndio ukweli.
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app