Uzi maalumu wa kujua gharama za ujenzi wa majengo mbalimbali

Uzi maalumu wa kujua gharama za ujenzi wa majengo mbalimbali

Mkuu anza ujenzi haraka tu materials ya ujenzi yanapanda kila siku
Kwenye finishing gharama inategemea utatumia materials ya aina gani kunatokea variation kubwa kama materials ni ya kichina, kithailand au ya Europe.
Mi juzi nimemaliza kujenga rental apartment 2 za Chumba kimoja,sebuleni choo ,jiko na kibaraza nimetumia 50m+zote
Jenga tu Mzee usifikirie sana gharama hakuna ishu inayokula hela kama mchwa kama ujenzi.
All in all inategemea na mfuko wako finishing ya sebuleni tu inaweza Kula hadi m30 inategemea utataka iwekwe vikorombezo gani
 
Mkuu anza ujenzi haraka tu materials ya ujenzi yanapanda kila siku
Kwenye finishing gharama inategemea utatumia materials ya aina gani kunatokea variation kubwa kama materials ni ya kichina, kithailand au ya Europe.
Mi juzi nimemaliza kujenga rental apartment 2 za Chumba kimoja,sebuleni choo ,jiko na kibaraza nimetumia 50m+zote
Jenga tu Mzee usifikirie sana gharama hakuna ishu inayokula hela kama mchwa kama ujenzi.
All in all inategemea na mfuko wako finishing ya sebuleni tu inaweza Kula hadi m30 inategemea utataka iwekwe vikorombezo gani

Acheni sifa za Instagram [emoji276]
 
Mkuu anza ujenzi haraka tu materials ya ujenzi yanapanda kila siku
Kwenye finishing gharama inategemea utatumia materials ya aina gani kunatokea variation kubwa kama materials ni ya kichina, kithailand au ya Europe.
Mi juzi nimemaliza kujenga rental apartment 2 za Chumba kimoja,sebuleni choo ,jiko na kibaraza nimetumia 50m+zote
Jenga tu Mzee usifikirie sana gharama hakuna ishu inayokula hela kama mchwa kama ujenzi.
All in all inategemea na mfuko wako finishing ya sebuleni tu inaweza Kula hadi m30 inategemea utataka iwekwe vikorombezo gani
Hiyo sebule M 30 unajengea dhahabu?
 
Acheni sifa za Instagram [emoji276]
Hayo mavitu yapo niliona Kwa jamaa yangu Fundi tu wa Magari Mimi bosi nampelekea Magari afanye service sina hiyo sebule.
Mimi m 30 ningetengeneza kirental changu Kwa mwezi nakula 150k
Mimi binafsi nyumba yangu ninayoishi ina vyumba 4 kimoja master , public bath,public toilet jiko ,sebuli na dining nilitumia kama 30 m ilikuwa 2015
 
Andaa million 90 mpaka 130. 4 bedroom house ni nyumba kubwa. .

Mie nimejenga apartment chumba choo, sebule choo na jiko la dining. Zifatane ziwe nne. .

Nimemaliza million 80 na bado nyumba sijafanyia finishing. Ujenzi unategemea na ulipo siku zote na design ya nyumba unayotaka. .

Mpangaji mmoja vipimo vya ndani kwa ndani ni ft 16 kwa ft 26.5 sasa hapo zidisha kwa 4. .


Nyumba yangu ndogo ambayo ni 2 bedroom, sebule plus kitchen nimetumia million 69 mpaka finishing kuisha. .
Milioni 90 hadi kukamilika, nakubaliana na wewe kabisa 100%. Kwa Tsh 130m, hapana. Watakuwa wamemuibia muibo mkubwa sana
 
Wana JF habari za muda huu, natumaini wote tuko salama baada ya pilikapilika za Christmas.

Waungwana nimepata hii ramani hapa JF nimeipenda sasa nikaona na mm niitafutie makadirio ya gharama zake panapo majaliwa na mm mwanzoni mwa mwaka nianze ujenzi.

Naomba kujua gharama hadi nyumba inakamilika kuanzia msingi hadi finishing. Kiwanja kipo Kijichi ni 20*20.

0D7F5DA6-F5BD-4107-955D-8F0E6F989387.jpeg
526EAAE3-AE77-4DF7-BB2D-BBC3BF2B9D3D.jpeg
 
Kama hujui njia uiendayo kila njia kwako itakuwa ni sahihi![emoji276]kiongozi ramani za kuokoteza ni hatari sana utakimbia pagale baadae,hivi wewe hauna ndoto ya nyumba yako unataka iwe Vipi?,angalia kipato chako na ndoto zako kisha tafuta ramani inayolingana na uwezo wako
 
Kama hujui njia uiendayo kila njia kwako itakuwa ni sahihi![emoji276]kiongozi ramani za kuokoteza ni hatari sana utakimbia pagale baadae,hivi wewe hauna ndoto ya nyumba yako unataka iwe Vipi?,angalia kipato chako na ndoto zako kisha tafuta ramani inayolingana na uwezo wako
Unajuaje kama haiendani na kipato changu mkuu? Kama unafahamu gharama zake niambie ndo nijue sio level yangu ama lah
 
Asante mkuu, January nitajitahid nianze hatua za awali

Ukienda na hesabu hiyo umeliwa mzee! Nkupa mfano mdgo nipe majibu
Gharama za ufundi tu piga hesabu
Fundi wa kujenga boma na shimo la choo
Fundi wa kupaua na blandering
Fundi wa jamvi
Fundi wa electrical wiring
Fundi wa plumbing
Fundi wa plasta
Fundi wa gypsum na skimming
Fundi wa rangi
Fundi wa tiles
Hapo kadiria ww utawalipa sh ngap alafu toa kwenye hyo 30 au 40 uone unabakiwa na sh ngap?
Alafu ukimaliza weka gharama za madirisha yako 15 (grill na aluminium) then ongeza na milango 9 (frame na top) alafu weka na gharama za kuunganisha umeme tanesco alafu nmbie umebaki na sh ngap ili twende kwenye materials sasa[emoji23]
 
Back
Top Bottom