Uzi maalumu wa kujua gharama za ujenzi wa majengo mbalimbali

Uzi maalumu wa kujua gharama za ujenzi wa majengo mbalimbali

Ukienda na hesabu hiyo umeliwa mzee! Nkupa mfano mdgo nipe majibu
Gharama za ufundi tu piga hesabu
Fundi wa kujenga boma na shimo la choo
Fundi wa kupaua na blandering
Fundi wa jamvi
Fundi wa electrical wiring
Fundi wa plumbing
Fundi wa plasta
Fundi wa gypsum na skimming
Fundi wa rangi
Fundi wa tiles
Hapo kadiria ww utawalipa sh ngap alafu toa kwenye hyo 30 au 40 uone unabakiwa na sh ngap?
Alafu ukimaliza weka gharama za madirisha yako 15 (grill na aluminium) then ongeza na milango 9 (frame na top) alafu weka na gharama za kuunganisha umeme tanesco alafu nmbie umebaki na sh ngap ili twende kwenye materials sasa[emoji23]
50 mil inamaliza ila kwa kujibana. Ukijiachia hesabu 60mil
 
Ukienda na hesabu hiyo umeliwa mzee! Nkupa mfano mdgo nipe majibu
Gharama za ufundi tu piga hesabu
Fundi wa kujenga boma na shimo la choo
Fundi wa kupaua na blandering
Fundi wa jamvi
Fundi wa electrical wiring
Fundi wa plumbing
Fundi wa plasta
Fundi wa gypsum na skimming
Fundi wa rangi
Fundi wa tiles
Hapo kadiria ww utawalipa sh ngap alafu toa kwenye hyo 30 au 40 uone unabakiwa na sh ngap?
Alafu ukimaliza weka gharama za madirisha yako 15 (grill na aluminium) then ongeza na milango 9 (frame na top) alafu weka na gharama za kuunganisha umeme tanesco alafu nmbie umebaki na sh ngap ili twende kwenye materials sasa[emoj
Ukienda na hesabu hiyo umeliwa mzee! Nkupa mfano mdgo nipe majibu
Gharama za ufundi tu piga hesabu
Fundi wa kujenga boma na shimo la choo
Fundi wa kupaua na blandering
Fundi wa jamvi
Fundi wa electrical wiring
Fundi wa plumbing
Fundi wa plasta
Fundi wa gypsum na skimming
Fundi wa rangi
Fundi wa tiles
Hapo kadiria ww utawalipa sh ngap alafu toa kwenye hyo 30 au 40 uone unabakiwa na sh ngap?
Alafu ukimaliza weka gharama za madirisha yako 15 (grill na aluminium) then ongeza na milango 9 (frame na top) alafu weka na gharama za kuunganisha umeme tanesco alafu nmbie umebaki na sh ngap ili twende kwenye materials sasa[emoji23]
Bro sijawah kujenga ndo naanza kwa mara ya kwanza though nilishariki ujenzi kwa Bi mkubwa nilikua tu natuma pesa, sasa mwaka huu nataka nijenge mwenyewe ndo mana nikaomba tathimini ya gharama zake zote kwa ujumla
 
Ila nilichopewa na jamaa mwingne wa nje ya JF amesema kiwanja cha 20*20 hakitoshi pia akasema nisiope gharama nianze taratibu,

Tafuta mafundi wawili, wapeleke site Kwa nyakati tofauti, wape hiyo ramani, wasikilize Kila mmoja anakupa gharama kiasi Gani.

Pia wakuandalie gharama Kwa hatua, mfano msingi peke yake, kuinyanyua boma Hadi lenter, lenter yenyewe na zile mistari za tofali baada ya lenter.
Akuandalie upauaji ( mbao, bati), ije madirisha, maji na umeme, frame za milango, tiles, lipu na rangi.

itakusaidia kujipanga Kwa Kila hatua kulingana na uwezo wako.
 
Mkuu naona kama hiyo ni nzuri, nyumba ina nafasi ya kutosha, ila naona kama kiwanja chako ni kidogo, itaenea ila itabana sana

Kingine mkuu kwa hiyo nyumba ukipewa gharama za jumla utakata tamaa, wewe anza kuchimba msingi mdogo mdogo utamaliza.

Hongera sana kwa kuwaza ujenzi, nyumba ni kila kitu.
 
Tafuta mafundi wawili, wapeleke site Kwa nyakati tofauti, wape hiyo ramani, wasikilize Kila mmoja anakupa gharama kiasi Gani.

Pia wakuandalie gharama Kwa hatua, mfano msingi peke yake, kuinyanyua boma Hadi lenter, lenter yenyewe na zile mistari za tofali baada ya lenter.
Akuandalie upauaji ( mbao, bati), ije madirisha, maji na umeme, frame za milango, tiles, lipu na rangi.

itakusaidia kujipanga Kwa Kila hatua kulingana na uwezo wako.
Asante kwa ushauri
 
Kama kweli unania ya kuanza ujenzi ni suala la kumpelekea fundi aingalie au mchora ramani muifanyie tathmini kama kuna sehemu za kurekebisha na suala la gharama
Hapa jf ni sawa ila utapata maoni ya jumla jumla
 
Bro sijawah kujenga ndo naanza kwa mara ya kwanza though nilishariki ujenzi kwa Bi mkubwa nilikua tu natuma pesa, sasa mwaka huu nataka nijenge mwenyewe ndo mana nikaomba tathimini ya gharama zake zote kwa ujumla

Lengo langu alikua kukutisha mkuu, nlitaka angalau nikupe picha ya uhalisia ujipange vizuri! Kwa ramani hyo japo haina dimension roughly kama unapenda upate kitu kizuri inaweza kucost 60-70 pamoja na fence! Ila kama kiwanja chako ni 20 kwa 20 nakushauri utafute ramani nyingne ili upate nafasi ndan hata ya kupark gari na land scaping! Alafu kingne hyo ramani ina kona nying sana itaongeza gharama upande wa bati, kenchi na kuta! Pia vyoo na jiko vipo mbali mbali itkufnya nje uwe na chemba nyingi za maji taka.
 
Lengo langu alikua kukutisha mkuu, nlitaka angalau nikupe picha ya uhalisia ujipange vizuri! Kwa ramani hyo japo haina dimension roughly kama unapenda upate kitu kizuri inaweza kucost 60-70 pamoja na fence! Ila kama kiwanja chako ni 20 kwa 20 nakushauri utafute ramani nyingne ili upate nafasi ndan hata ya kupark gari na land scaping! Alafu kingne hyo ramani ina kona nying sana itaongeza gharama upande wa bati, kenchi na kuta! Pia vyoo na jiko vipo mbali mbali itkufnya nje uwe na chemba nyingi za maji taka.
Asante mkuu
 
Wana JF habari za muda huu, natumaini wote tuko salama baada ya pilikapilika za Christmas.

Waungwana nimepata hii ramani hapa JF nimeipenda sasa nikaona na mm niitafutie makadirio ya gharama zake panapo majaliwa na mm mwanzoni mwa mwaka nianze ujenzi.

Naomba kujua gharama hadi nyumba inakamilika kuanzia msingi hadi finishing. Kiwanja kipo Kijichi ni 20*20.

View attachment 2461075View attachment 2461076
La nn lote hili acha ujinga

Mnyiramba amejenga kagorofa kake kama hiki nimeona mahali
Hongera[emoji847]
IMG_20221223_180539_9.jpg


Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom