Alubati
JF-Expert Member
- May 29, 2016
- 6,535
- 14,840
Bei inategemea na
1.site eneo ilipo
2.jografia ya eneo lenyewe
3.aina ya ya ramani ya nyumba
.ubora na uzoefu wa fundi.
Hayo ya rejareja ya kuuza tofali 300 au 400 ni kazi ya fundi aliyekamata site kuwauzia wale mafundi atakaowaleta.
Mafundi pia wanatofautiana status.kuna nyumba bei ya ufundi kwa fundi fulani inaweza kufika lets say mil3.5 full boma. Mwingine akakufanyia kwa mil 1.5
Akili kichwani kwako.
1.site eneo ilipo
2.jografia ya eneo lenyewe
3.aina ya ya ramani ya nyumba
.ubora na uzoefu wa fundi.
Hayo ya rejareja ya kuuza tofali 300 au 400 ni kazi ya fundi aliyekamata site kuwauzia wale mafundi atakaowaleta.
Mafundi pia wanatofautiana status.kuna nyumba bei ya ufundi kwa fundi fulani inaweza kufika lets say mil3.5 full boma. Mwingine akakufanyia kwa mil 1.5
Akili kichwani kwako.