Karibu sana.WAzee wa elevate
Npo ilemelaKaribu sana.
Nyegeraa waitu!!!Kagera,bukoba.
Wewe sema Tabora KWA muda kabla ya Kurudi dodoma!Dodoma
Upo Tabora?Wewe sema Tabora KWA muda kabla ya Kurudi dodoma!
NanjilinjiHuu uzi ni maalumu kwa kujua wana JF wanatokea wapi. Comment unapotokea sisi majirani tutapita na likes.
Itasaidia pia kupeana michongo ya hapa na pale.
nianze mimi
Arusha- sanawari
Mkuu mbona unanicheka huku sikuizi huku kume endelea.....
Nikafikri ni Ishinabulandi! Kumbe ni Imala? Iko wapi hii mkuu?Imala Bhulandi sukuma land
Hata mimiNapitia comments