Naomba mawasiliano yako inbox kama hutojaliMkuu ni hivi connection ipo ni wewe tu kuandaa documents tu .pia unalipia process zote. Maana sio mimi nae process hayo mambo mkuu. Nazani nimekujibu mkuu
Sawa mkuu we njoo inbox tu aina shidaNaomba mawasiliano yako inbox Kama hutojari
Karibu sana BushmamySubiri kidogo ntakutafuta.
Hopefully watakuja wajuzi kukupa information zilizonyookaNaomba msaada mwenye uzoefu wa biashara ya nafaka kupeleka dar naomba muongozo: mtaji ushauri leseni na dar wapi wananunua mchanganuo n.k.
Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
Kama tutaelewana bei ninayotaka namletea bila tatizo.Bei unauzaje? Na vp nikikupa mteja utaweza kumletea hapa Dsm??
Nauza 3000per kg ....Bei unauzaje? Na vp nikikupa mteja utaweza kumletea hapa Dsm??
Ni mahindi kutoka mkoa gani?Nahutaji connection ya kuuza mahindi dar au sehemu zingine Nina zaidi ya Tani 40 store...msaada wakuu
Kiteto, Manyara mkuuNi mahindi kutoka mkoa gani?
Hahaha sasa kama kuna Ugonjwa utamuuzia naniAtakayepata soko la nguruwe ndo atapiga hela hatari.nguruwe ni wengi hawana wateja kuna na ugonjwa umezuka
Wapo hawaumwiHahaha sasa kama kuna Ugonjwa utamuuzia nani
Jaribu kupeleleza hapo arusha naskia bei ya mahnd iko vzur unaweza enda kuuza hapo.Kiteto, Manyara mkuu
Mkuu habari yako mahindi yako yako wapi au mkoa gani...Nahutaji connection ya kuuza mahindi dar au sehemu zingine Nina zaidi ya Tani 40 store...msaada wakuu.
Bei gani gunia la debe sitaKiteto, Manyara mkuu
50000 mkuu...maongezi yapoBei gani gunia la debe sita