MTV MBONGO
JF-Expert Member
- Feb 18, 2016
- 1,281
- 1,251
Mwenye kujua korosho za jumla ili niuze rejareja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
La ukubwa gani kigamboni linapatikanaNatafuta Banda la chuma nipo kimara.
Kuna mdada anaitwa korosho empire mnamo instgram mchek mnaweza fanya biashara kwa kg 1 16500.Mwenye kujua korosho za jumla ili niuze rejareja
Unahitaji kilo ngapi?Mwenye kujua korosho za jumla ili niuze rejareja
Nahitaji wanunuzi wa mbao mzigo upo iringa chililolo piga 0763031988Ninapenda nipewe connection ya biashara ya mazao ya chakula baada ya muda muafaka nije niyauze.
Natanguliza shukrani.
Naomba kuhusika kipande hicho wakuuConnection kuhusu uuzaj dagaa na samak Dodoma mweny idea tafadhar kuhusu process za usafirishaj na vibali.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nahitaji wanunuzi wa mbao mzigo upo iringa chililolo piga 0763031988
Natafuta connection ya biashara ya nguoKama kichwa cha habari kinavyo someka ningependa uzi huu uwe maalum kwa kupeana connection mbalimbali za biashara. Biashara bila connection unaweza fanya bila mafanikio, hivyo basi ni vizuri tupeane connection mbalimbali za biashara..a.
Projector 1 Epson nilinunua 840000Msaada tafadhal, nahitaji kufanya biashara ya kuonyesha mpira! Mwnye uzoefu tafadhal niandae bajet kiasi gani? NB NATAKA KUANZA MWEZ WA 8.
Naomba ufafanuzi hapaMkuu ni hivi connection ipo ni wewe tu kuandaa documents tu .pia unalipia process zote. Maana sio mimi nae process hayo mambo mkuu. Nazani nimekujibu mkuu
Wapi bei Gani mzee?Natafuta soko la soya beans. Naombeni msaada ndugu zangu. Mzigo upo wa kutosha.
Mkuu kuna kampuni zimepewa tenda ya kuuza hili zao wanapeleka china watafute hata kwa kugoogleNatafuta soko la soya beans. Naombeni msaada ndugu zangu. Mzigo upo wa kutosha.
Nchek tufanye kazi ya mchele wa kyela,hii ndo miezi ake 0765891704,,,Naombeni connection ya mtu ambaye yupo mbeya atakayenisaidia nitakapoenda kuchukua mchele kwa mara ya kwanza.