Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duka ni online mkuu wa.me/255713131366Hujaandika duka lipo sehemu gani, Instagram account, Namba ya simu. Mjasiriamali, tubadilike tuwe serious na kazi zetu
Habari yako mkuu ulifanikiwa kupata connection ya kuuza hayo maharage ya soyaNatafuta soko la soya beans. Naombeni msaada ndugu zangu. Mzigo upo wa kutosha.
Msaada tafadhal, nahitaji kufanya biashara ya kuonyesha mpira! Mwnye uzoefu tafadhal niandae bajet kiasi gani? NB NATAKA KUANZA MWEZ WA 8.
mm natafuta kabati kama izi lkn zile za plastiki kabsa
Unataka kununua ??Naomba connection za pikipiki used hasa Ausha, Moshi na Manyara au hata Singida pia.
Viatu vya mtumba ukitaka kwa bei rahisi fika Soko la Sido mbeya,juhudi yako ni kuamka mapema tu na kufika eneo la tukio tu,,,,zaidi karibu PM nikuunganishe na winga ambaye anauza viatu vya mtumba Mbeya.Wakuu naomba connection ya viatu vya mtumba kwa waliopo sumbawanga. au kwa alie wahi kuchukulia mzigo hapo
au mbeya
Nichek 0624059384 from sumbawangaWakuu naomba connection ya viatu vya mtumba kwa waliopo sumbawanga. au kwa alie wahi kuchukulia mzigo hapo
au mbeya
pamoja ngassa, nilikua nataka kujua location wanapo fungua lobota hapo sumbawanga. muda na uzoefu wako kwenye kusort natanguliza shukrani zangu za dhatiiNichek 0624059384 from sumbawanga
20k?Nanunua karatasi za A4 lim paper zilizotumika kwa kilo. Njoo na ofa yako. Hii ni kwa wamiliki wa vyuo kama mnayo instead of dumping let us make a deal.
Upo wapi? Kilo tsh ngapi?Nanunua karatasi za A4 lim paper zilizotumika kwa kilo. Njoo na ofa yako. Hii ni kwa wamiliki wa vyuo kama mnayo instead of dumping let us make a deal.
Upo wilaya ipi ya mkoa wa Lindi?Kwa mkoa wa lindi ni biashara gan nzur kwa biashara