Uzi maalumu wa kupeana connection mbalimbali za biashara

Uzi maalumu wa kupeana connection mbalimbali za biashara

Naomba msaada mwenye uzoefu wa biashara ya nafaka kupeleka dar naomba muongozo: mtaji ushauri leseni na dar wapi wananunua mchanganuo n.k.

Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
 
Atakayepata soko la nguruwe ndo atapiga hela hatari. Nguruwe ni wengi hawana wateja kuna na ugonjwa umezuka.
 
Back
Top Bottom