Connection ya kiwanda kinachotengeneza Madawa ya Binadamu kwa ajiri ya Maduka ya Dawa Mhimu, hasa kanda ya ziwa!
Zote mkuu, unazozijua zinauzwa na maduka ya Duka baridi. Kama una connection niambie then nitakutumia samples ya dawa ninazonunuagaa!Dawa zip hasa unahitajia?
Zote mkuu, unazozijua zinauzwa na maduka ya Duka baridi. Kama una connection niambie then nitakutumia samples ya dawa ninazonunuagaa!
hii bei hata kijijini huwezi pata nishafanya research ya hii kitu kijijini wanacheza kwenye 8000-9000 pigia+ ushuru+ usafir ili mtu apate faida angalau auze kwa 12000 bei ya jumla kwa dar,pia risk ya kufa mda wa kuwasafirisha huwa kubwa Sana!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Shukrani Sana mkuu in advance!Naam nina connection ya mtu mmoja yy husambaza madawa ya binadamu hasa katika mikoa ya Mara na Mwanza. Ila yy huchukulia kwa Kenya ngoja nitakupatia namba yake uwasiliane nae.
Hahahaha, Tanzania bana ,ina maana watu hawasafiri huko kisa corona ?shukrani
hivi kuna kusafiri kweli?
Kuna link hapo juu ,wafanyabiashara Wa Tanzania mnaalikwa Congo ktk fursa za kibiasharanahitaji connection ya kuuza mahindi na maharagwe nchi za jirani wakuu pls mwenye connection na je vibali navipataje wakuu?
Njoo Arusha kama ni nzuriWakuu natafuta mnunuzi wa dengu mzigo upo babati wa kutosha kilo elfu 2, mwenye connection yeyote ya dengu anicheki tufanye business.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kilindi nimesikia gunia 20 elfuHuku niliko kwa sasa ni 30k
Ni wapi huko mkuu
Bilashaka utakua tanga
Kilindi nimesikia gunia 20 elfu
Mwaka huu kama umelima mahindi kibiashara utapata taabu sana maana kwa mahindi yaliyovunwa na yatayovunwa June na July gunia litauzwa kwa 10k au chini hahahah yatakuwa Yale ya mbaazi kilo sh100 na hakuna wateja anyway tutalisha mifugo hii ni fursa kwa wafugaji wa kuku,ngombe,mbuz,ngurue kununua mahindi,mtama,ngano nk kwa bei ya kutupa kutengeneza chakula cheap kaz kwetu sasa