nzoka boy
JF-Expert Member
- Oct 14, 2017
- 1,165
- 1,038
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana niko na magariKupakia kiaje mkuu ..uko na mizigo yako au vipi?
Nna magari nataka mizigoYaani una mzigo unataka gari la kuchukua mzigo wa tan 30 ama?
Ni kwa dar kariakoo niPm nikupatie namb za muhusikaWAPI MKUU? NAOMBA CONNECTION
Swala LA price comparison Ni muhimu maana unaweza ambiwa Luna soko kumbe bei Ni sawa na mtaani kwakoArusha sehemu gani, Vip kuhusu bei? Mpe data kamili tafadhali.
Kuweka stock mda mrefu pia wafugaji Ni fursa kwa chakula cha mifugo
Ninapenda nipewe connection ya biashara ya mazao ya chakula baada ya muda muafaka nije niyauze.
Natanguliza shukrani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ungekua simiyu biashara ya mpunga ingekutoa sanaa,unakua na milioni yako 1 unanunua magunia yako kadhaa unayaweka ndani baada ya miezi kadhaa unakoboa unauza mchele. Fursa nzuri sanaa hyo nami hv soon nitaifanya maana ndo nyumbani huko.
Nina Kama wiki tatu huku Kuna fursa nyingi sana upande wa biashara ya mazao mchawi mtaji tu
Kweli kwanza m1 ukinunua gunia kumi tu mtaji unakua ushakata hii biashara unatakiwa uwe na mtaji mkubwaHizo biashara za kununua mazao kisha unaweka ndani nadhani zinahitaji mtaji mkubwa sana. Huwezi kuwa serious eti una million 1 ununue magunia ya mpunga uweke ndani utulie tu. Hiyo million 1 si bora utafute kazi ya kufanya angalau upate 10k kwa siku.
Huko Maharage wanauzaje?Njoo uchukue mzigo Songe
Huko Maharage wanauzaje?
Natafuta connection ya soko la samaki wabichi wa baharini( Seafood) napatikana kunduchi beach dsm.Kama kichwa cha habari kinavyo someka ningependa uzi huu uwe maalum kwa kupeana connection mbalimbali za biashara. Biashara bila connection unaweza fanya bila mafanikio, hivyo basi ni vizuri tupeane connection mbalimbali za biashara.
Uzi huu utumike kuwakutanisha watu mbalimbali katika biashara tofauti tofauti na mwisho wa siku kupeana connection za biashara kutokana na ombi la muhusika. Wapo watu mbalimbali Katika duniani hii wana mitaji mizuri tu lakini kutokana na kuto kuwa na connection wametulia na mitaji yao. Hivyo basi uzi huu uwe msaada kwao.
Elezea unahitaji connection ipi katika biashara kisha subiri kupewa connection na wahusika katika biashara hiyo. Lengo ni kusaidiana na si vinginevyo. Tuweke roho mbaya pembeni kisha tuungane pamoja katika gurudumu la maendeleo.
Wadau karibuni katika uzi huu tupeane connection za biashara.
Mkuu upo Kunduchi sehemu gani? Vipi nikihitaji samaki toka kwako, mchanganuo wa aina ya samaki na bei zake upoje?Natafuta connection ya soko la samaki wabichi wa baharini( Seafood) napatikana kunduchi beach dsm.
Nenda karibu na vyuo vilivyo mjiniNatafuta eneo nichome na kutengeneza nyama nzuri sana ya kitimoto, mkoani Dodoma.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama una mvuvi wa sato na sangara wa mwanza nijulisheAnayehitaji samaki wa baharini kwa Bei ya jumla na kuunganisha na anayevua sio dalali karibu.