Uzi maalumu wa kupeana connection mbalimbali za biashara

Uzi maalumu wa kupeana connection mbalimbali za biashara

natafuta wanunuzi was jumla na rejareja was pilipili(sauce)
ya embe na ya ukwaju
inafaa kwa matumizi ya Nyumbani na wenye biashara ya chakula
zinatumika kurowekea nyama na pia Julia chakula (dipping)
ni kionjo matata sana hasa kwa wauza chips
inapatikana kwa chupa ya Lita moja
nusu Lita na robo Lita.
karibuni sana
 
natafuta wanunuzi was jumla na rejareja was pilipili(sauce)
ya embe na ya ukwaju
inafaa kwa matumizi ya Nyumbani na wenye biashara ya chakula
zinatumika kurowekea nyama na pia Julia chakula (dipping)
ni kionjo matata sana hasa kwa wauza chips
inapatikana kwa chupa ya Lita moja
nusu Lita na robo Lita.
karibuni sana
Habari za mida

Taasisi ya *Sekta Binafsi Tanzania (TPSF)* ikishirikiana na Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Ubalozi wa Tanzania nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, ubalozi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo nchini Tanzania pamoja na Shirikisho la Wafanyabiashara wa Congo (FEC) wameandaa ziara ya biashara ya mkakati jijini *Lubumbashi* kuanzia tarehe 6-9 Aprili 2020.

Hii ni *fursa* ya kipekee ya utafiti na kufanya biashara kati ya mipaka ya nchi hizi mbili.

Fursa mbalimbali zinapatikana nchini Congo kwenye *sekta zifuatazo*:
Chakula, bidhaa za kilimo, mazao ya biashara, usafirishaji wa watu na bidhaa, madini, maghala, vifaa vya ujenzi na umeme, teknolojia ya habari na mawasiliano, usafiri, pembejeo, mashine, Utalii, bima na huduma za kifedha.

Ili *Kushiriki* tafadhali jisajili kupitia kiunganishi hiki:

Registration Form – Tanzania Business Forums

Tafadhali *sambaza* ujumbe huu kwenye mtandao wako wa kibiashara na magroups.

Kwa *maelezo* ya ziada wasiliana na TPSF piga simu +255710303880 au +255784323068
 
Habari za mida

Taasisi ya *Sekta Binafsi Tanzania (TPSF)* ikishirikiana na Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Ubalozi wa Tanzania nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, ubalozi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo nchini Tanzania pamoja na Shirikisho la Wafanyabiashara wa Congo (FEC) wameandaa ziara ya biashara ya mkakati jijini *Lubumbashi* kuanzia tarehe 6-9 Aprili 2020.

Hii ni *fursa* ya kipekee ya utafiti na kufanya biashara kati ya mipaka ya nchi hizi mbili.

Fursa mbalimbali zinapatikana nchini Congo kwenye *sekta zifuatazo*:
Chakula, bidhaa za kilimo, mazao ya biashara, usafirishaji wa watu na bidhaa, madini, maghala, vifaa vya ujenzi na umeme, teknolojia ya habari na mawasiliano, usafiri, pembejeo, mashine, Utalii, bima na huduma za kifedha.

Ili *Kushiriki* tafadhali jisajili kupitia kiunganishi hiki:

Registration Form – Tanzania Business Forums

Tafadhali *sambaza* ujumbe huu kwenye mtandao wako wa kibiashara na magroups.

Kwa *maelezo* ya ziada wasiliana na TPSF piga simu +255710303880 au +255784323068
shukrani
hivi kuna kusafiri kweli?
 
natafuta wanunuzi was jumla na rejareja was pilipili(sauce)
ya embe na ya ukwaju
inafaa kwa matumizi ya Nyumbani na wenye biashara ya chakula
zinatumika kurowekea nyama na pia Julia chakula (dipping)
ni kionjo matata sana hasa kwa wauza chips
inapatikana kwa chupa ya Lita moja
nusu Lita na robo Lita.
karibuni sana
Tupi bei na eneo ambalo uko

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tupi bei na eneo ambalo uko

Sent using Jamii Forums mobile app
Lita 1 @2500
nusu Lita 2000
robot Lita @1500
kwa wateja wa jumla

Rejareja Lita 1 @3000
Nusu Lita @2500
robo Lita 2000

bei hizi ni kwa sauce zote ya maembe na ukwaju pia
Napatikana Kimara ,
Riverside na External
pia delivery IPO
Karibuni
 
hii bei hata kijijini huwezi pata nishafanya research ya hii kitu kijijini wanacheza kwenye 8000-9000 pigia+ ushuru+ usafir ili mtu apate faida angalau auze kwa 12000 bei ya jumla kwa dar,pia risk ya kufa mda wa kuwasafirisha huwa kubwa Sana!!
Ok, tufanye biashara.

Nahitaj kuku(jogoo&tetea) 50 kwanza kwa TZS 7,500/=@.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom