Midekoo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2015
- 45,757
- 246,786
Hapana sina
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana sina
e mail yako ni @ymail.com au gmail.com ?Mwenye bidhaa yake ya chukula au viuongo anahitaji kuuziwa au kusambaziwa tunasambaza kwa haraka zaidi tunapatikana Arusha
njoo pm au email jumaomari@ymail.com
Sent using Jamii Forums mobile app
e mail yako ni @ymail.com au gmail.com ?
Ebhana nahitaji mbao kwa bei ya kawaida napataje connection mana hizi mbao za dar bei juuKama ni kununua nichek pm nikupe namba ya mdau mmoja ni mtaalamu katika masuala hayo.
Naomba contact zako tafadhaliNjoo mlimba Kuna Kijiji kinaitwa idui Kuna kuku Hadi wa elfu tano
Unatafuta muandish au ww ndo muandish?!natafuta connection ya uandishi wa makala za mitandaoni ama za hard copy, mada yoyote, au kuandikia website za masuala mbalimbali, 0718829826. kwa kizungu naita Content Writing.
Upo wapi MkuuAnayetaka pumba na mashudu ya alizeti anichek nimuungsnishe
Naomba contact tafadhaliMimi nawasaidia wajasiriamali kunasa wateja kwa kutumia internet, mkoa wowote ulipo, Nina technology ya kulink akaunti zako ili wateja watoke Facebook, na Instagram wakufuate WhatsApp
Niko kwa mda karatu wametoa maharage awamu ya kwanza February nimepata tetesi bei ni kama 30000 debe it means 180k gunia2,800 kwa kilogram. Maharage yaliyopo kwa sasa ni kwa ajili ya mbegu. Kwa sasa wakulima wanaandaa mashamba yao kwa ajili ya kilimo cha Maharage. Kufikia mwezi wa saba maharage mapya yatakuwa tayari hivyo bei itakuwa rafiki.
mimi nafanya hizo kazi, natafuta kazi za namna hiyo
Always ipo hivyo ,tafuta weakness ya hao ma suppliers wngn tengeneza ushawishi.Wana watu wao spesho wa oda
Kwa aliena connection ya dagaa wa kuchemsha wasio na mchanga anielekeze soko lipo wapi la kuuza hivi vitu.
Nichek DM tuyajengenatafuta connection ya uandishi wa makala za mitandaoni ama za hard copy, mada yoyote, au kuandikia website za masuala mbalimbali, 0718829826. kwa kizungu naita Content Writing.
Mimi niko Arusha mkuuSawa, aliyekaribu atakucheki. Ingelikuwa moshi au arusha ingekuwa biee
tayari