Papaa Gx
JF-Expert Member
- Oct 10, 2016
- 11,097
- 17,929
Tupe connection yako mkuu
naona connection nyingi za wachuuzi, service zimekua kwa uchache au hamna kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
naona connection nyingi za wachuuzi, service zimekua kwa uchache au hamna kabisa
naona connection nyingi za wachuuzi, service zimekua kwa uchache au hamna kabisa
Andaa nauli mwezi wa nne uende vijiji vya Moro kunakuaga na kazi za kuvuna na kupiga mpunga na mazao mengineMe natafuta kazi yoyote yakufanya sina mtaji mwenye kutafuta kijana wakazi anPM tuongee
Sent using Jamii Forums mobile app
Hizo biashara za kununua mazao kisha unaweka ndani nadhani zinahitaji mtaji mkubwa sana. Huwezi kuwa serious eti una million 1 ununue magunia ya mpunga uweke ndani utulie tu. Hiyo million 1 si bora utafute kazi ya kufanya angalau upate 10k kwa siku.
Si kununua kwa mtu au watu bali ni kununua moja kwa moja majarubani/mbugani kwasababu sisi tupo sehemu yenye majaruba ya mipunga kwahyo kwa 1milioni ni hela ndefu kiasi kwahyo faida ni maradufu tofauti na udhaniavyo nyie simnasota na mjini huko hamjui hata majaruba ni nini?? Mnajua tu kula wali....
Nahitaji kufanya bihashara ya samaki walio kaushwa na moshi kutoka mlimba too mafinga, je unaweza nisaidia?Moro wilaya ya kilombero
Nahitaji kufanya bihashara ya samaki walio kaushwa na moshi kutoka mlimba too mafinga, je unaweza nisaidia?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwama hata majaruba hatufaham yakoje.!! [emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi ninauza chia seed kilo moja elfu 9 reja reja jumla kuanzia kilo 5 nauza elfu 6500
Sent from my Infinix X559C using Tapatalk
Labda uje mwenyewe maana samaki wanapatikana mbali afu barabara ni changamoto nyingi zimejaa tope