Expert Judgement
JF-Expert Member
- May 29, 2019
- 442
- 730
0755892502 Huyu anauza Dagaa Dodoma mpigie anaitwa Lucy Mwita , 0692184425 Huyu Anauza wale dagaa wa Zanzibar yupo Dar japo anaweza kukutumia pia anaitwa Amiri RamahaiConnection kuhusu uuzaj dagaa na samak Dodoma mweny idea tafadhar kuhusu process za usafirishaj na vibali.
Sent using Jamii Forums mobile app
Maharage kutoka KigomaJiji la Dodoma kwa sasa lina uhitaji wa kila kitu kuanzia bidhaa za shambani mpaka viwandani sababu kuu ni wingi wa watu wanaoingia na kutoka hapo jijini.
Connections tafadhali kwa mtu atakaye kuwa tayari mimi ninauwezo wa kukusanya maharage hasa ya njano.
Kuanzia tani 1 yaani gunia 10 za kilo 100 kila moja nakutumia mzigo kama una swali karibu.
Ukipata naomba unipe connection.Nahitaji carton moja ya sigara wiston sport nipo mkoani fursa kwa watu wafanyao kazi viwandani hii
Sent from my TECNO Camon CX using JamiiForums mobile app
Sawa mkuu nitakuoa mrejeshoUkipata naomba unipe connection.
0754306669WAKUU MWENYE CONNECTION YA VITUNGUU KUTOKA SINGIDA AU MAHALI POPOTE ANITAFUTE TUFANYE KITU
Nicheki brohMimi nahitaji soko la kuku wa nyama, nipo chuga
Bei gani mkuuuIncubator ya kutotolesha vifaranga yenye ubora na guarant
Weka gharama, na je mpo mmekodi eneo/jengo kwa kutoa huduma kila siku, au mpaka mpate oda ndio mnahudumia?Natafuta mtu wa kununua company ya catering services ambayo ipo hapa dsm imesajiliwa tangu mwaka 2017 mpka sasa ipo sokoni na Ina vibali vyote vya serikali , kwahyo anaitajika mtu wa kununua shares zote za company na assets zote za company pamoja na wafanya kazi na pia ataongeza na wanyakazi wake wengne na yy atakuwa mkurugezi wa company kwahiyo boss atakayekuwa tiyali katika hili tuwasiliane kupita no hii 0766 09 09 56 Ahsante
mlimba ipo morogoro ni nke kidogo ya manispaa ya morogoroMorogoro
Uko wapi mkuu je parle na wauzaje?Nahitaji mnunuzi wa dagaa nyama zipo kilo zaidi ya 5000
haipungui ?[emoji2765] .: Habari?
[emoji2765].: Meza ya alminuam inauzwa laki moja... Ipo kimara mwisho
[emoji2765]: Meza ya plastic ya watu sita na vita vitatu vya plastic... Vyote kwa pamoja elfu 70.
[emoji2765] .: Kabati la chips lakimoja.
[emoji2765].: Jiko la mishkaki elfu 50.
Jiko la mkaa kubwa sana... Na makarai mawili ya kukaangia... Vyote kwa pamoja elfu 50.
Kwa anaye hitaji njoo PM. View attachment 2072893View attachment 2072895View attachment 2072896View attachment 2072898View attachment 2072899View attachment 2072900View attachment 2072901View attachment 2072902View attachment 2072904View attachment 2072905
Uko wapi chief?Broiler wa miezi 4?
Anyway mimi nahitaji broiler 150 kila week kama unao, njoo tuyajenge