Ofsa Kidali
JF-Expert Member
- Oct 24, 2021
- 212
- 119
👍Kwa Huduma Bora na Uhakika. Karibu kwa Matatizo yoyote ya Generator lako. Kama unauza au unataka kununua njoo ofisini kwetu. Pia tunafanya Maintenance service kwenye Engine na Ac alternator/Kinu. Wasiliana na nasi kwa 0693296809 Call and Whatsapp. Karibuni sana
Anaehitaji pumba karibu inbox
Location Songea
0683042776 nicheki mkuu.WAKUU MWENYE CONNECTION YA VITUNGUU KUTOKA SINGIDA AU MAHALI POPOTE ANITAFUTE TUFANYE KITU
Piki piki imara kwa ajili ya mtoto wako mwenye umri kati ya miaka 3-7
Kwa mawasiliano 0764108259
Tunafanya delivery popoteView attachment 2126064View attachment 2126065
Laki 4 boss maongezi yapoBei ikoje mkuu?
[emoji23][emoji23][emoji23]wakuu mimi nahitaji pumbu za mbuzi, ng'ombe.
wanauza wapi kwa jumla?
anayejua anijuze pleas!
[emoji23][emoji23][emoji23]
Nenda machinjio ya karibu..utapata unachokitaka.mkuu ni inshu serious!
nilienda sehemu fulani tofauti kama nne hivi mjini hapa watu wanakula sana hizo mambo!
sasa nimeangalia mtaani kwetu hiyo kitu inahitajika.
anayejua zinapouzwa pumbu za mbuzi na ng'ombe kwa jumla anitonye
Niko mkoani nijeAnahitajika kijana anayeweza kuuza samaki wa kukaanga maeneo ya manzese .
Awe mkazi wa manzese(dar es salaam) au eneo la karibu lisilohitaji usafiri .
Malipo ni maelewano kati yake na boss .
Tuwasiliane kwa muhitaji au unamtu wa karibu anaweza kazi hii
Pcha ni muhimu bossnatafuta wanunuzi was jumla na rejareja was pilipili(sauce)
ya embe na ya ukwaju
inafaa kwa matumizi ya Nyumbani na wenye biashara ya chakula
zinatumika kurowekea nyama na pia Julia chakula (dipping)
ni kionjo matata sana hasa kwa wauza chips
inapatikana kwa chupa ya Lita moja
nusu Lita na robo Lita.
karibuni sana
Biashara ya wachina hiyo pamoja mpirit na pembemkuu ni inshu serious!
nilienda sehemu fulani tofauti kama nne hivi mjini hapa watu wanakula sana hizo mambo!
sasa nimeangalia mtaani kwetu hiyo kitu inahitajika.
anayejua zinapouzwa pumbu za mbuzi na ng'ombe kwa jumla anitonye
Umepata?!Nahitaji mtu ambaye tutaungana kufanya biashara ya kurusha nyimbo ,movie ,games ,kutengeneza simu na utundu wa namna hiyo kwenye kijiwe changu manzese sokoni ,ni sehemu ndogo ila inaweza kufaa.Kama kuna msakatonge kama mimi usisite nicheki
Unataka eneo ufungue mwenyewe ? AuWapendwa
Nahitaji jiko na counter ya vinywaji Goba,Mbezi Luis,Madale au Tegeta.
Any connection please
Nenda kwenye machinjio mzeee utazipata kibaomkuu ni inshu serious!
nilienda sehemu fulani tofauti kama nne hivi mjini hapa watu wanakula sana hizo mambo!
sasa nimeangalia mtaani kwetu hiyo kitu inahitajika.
anayejua zinapouzwa pumbu za mbuzi na ng'ombe kwa jumla anitonye
Nikiwa mkoan je???View attachment 2156901
• Green mask inasaidia kwa watu wenye uso wa mafuta.
*inatoa chunusi
*inatoa vitobo vilivyobaki kwenye uso
*inatoa black heads
Bei 15000
Sorry wakuu, ninashida moja
Ninahitaji yebo yebo(ndala) za jumla jumla zile za bei Chee kuanzia 1,200/= Hadi tsh 1,500/=
Ni hilo tu ntashukuru saana
NB: niliwahi sikia kuwa dar es salaam kunawachina Huwa wanazalosha hizo yebo