Uzi maalumu wa kupeana connection mbalimbali za biashara

Uzi maalumu wa kupeana connection mbalimbali za biashara

WALE WA HOME DECORS NA FURNITURE KARIBUNI SANA SANA.
IG# dollrubii_decors



png_20230420_195753_0000.png
png_20230420_195115_0000.png
 
Msaada nahitaji kufata bidhaa hizo kariakoo naomba machimbo au conection dar kariakoo wapi ntapata Kwa bei nzuri
sandal, yebo yebo, Slippers
nguo za ndani za kiume na wadada
nguo za watato wadogo chin ya miaka 7
 

Kama kichwa cha habari kinavyo someka ningependa uzi huu uwe maalum kwa kupeana connection mbalimbali za biashara. Biashara bila connection unaweza fanya bila mafanikio, hivyo basi ni vizuri tupeane connection mbalimbali za biashara.

Uzi huu utumike kuwakutanisha watu mbalimbali katika biashara tofauti tofauti na mwisho wa siku kupeana connection za biashara kutokana na ombi la muhusika. Wapo watu mbalimbali katika dunia hii, wana mitaji mizuri tu lakini kutokana na kutokuwa na connection wametulia na mitaji yao. Hivyo basi uzi huu uwe msaada kwao.

Elezea unahitaji connection ipi katika biashara kisha subiri kupewa connection na wahusika katika biashara hiyo. Lengo ni kusaidiana na si vinginevyo. Tuweke roho mbaya pembeni kisha tuungane pamoja katika gurudumu la maendeleo.

Wadau karibuni katika uzi huu tupeane connection za biashara.
Safi
 
Bryte Sky Links is a “Registered” business that deals with the following services:



-> Web Designing.

-> TRA Online services.

-> Logo, Banners, Poster Designs.

-> Social Media Advertisements.

-> Business name & Company Registration.

-> Airline Reservations and Bookings.

-> Passport Applications.

-> Visa Applications.

-> Study Abroad Programs.

(+ Scholarships included)

-> And other I.T related services..

Karibu Tukuhudumie
9C6A8208-076B-477B-B5E6-29511B52D989.jpeg
 
Unahitaji kuanza biashara ya mashuka???
Karibu 0699406065 calls na whatsApp
Shuka za uganda foronya 80 na shuka 40 unapata kwa 650,000
 
Unahitaji kuanza biashara ya mashuka???
Karibu 0699406065 calls na whatsApp
Shuka za uganda foronya 80 na shuka 40 unapata kwa 650,000
Mjmi unipe njia ya kuzipata uko uganda
 

Kama kichwa cha habari kinavyo someka ningependa uzi huu uwe maalum kwa kupeana connection mbalimbali za biashara. Biashara bila connection unaweza fanya bila mafanikio, hivyo basi ni vizuri tupeane connection mbalimbali za biashara.

Uzi huu utumike kuwakutanisha watu mbalimbali katika biashara tofauti tofauti na mwisho wa siku kupeana connection za biashara kutokana na ombi la muhusika. Wapo watu mbalimbali katika dunia hii, wana mitaji mizuri tu lakini kutokana na kutokuwa na connection wametulia na mitaji yao. Hivyo basi uzi huu uwe msaada kwao.

Elezea unahitaji connection ipi katika biashara kisha subiri kupewa connection na wahusika katika biashara hiyo. Lengo ni kusaidiana na si vinginevyo. Tuweke roho mbaya pembeni kisha tuungane pamoja katika gurudumu la maendeleo.

Wadau karibuni katika uzi huu tupeane connection za biashara.
Habari za leo wadau. Naomba Connection ndugu zangu. Hizi Slippers zinapatikana Chimbo gani na bei ya jumla jumla ni Shilingi ngapi.
Asanteni.
Screenshot_20230608-151331_1.jpg
 
Back
Top Bottom