The Eric
JF-Expert Member
- Feb 23, 2019
- 6,446
- 10,976
Mkuu zama kariakoo.Nahitaji maduka wanayouza viatu vya kiume na Sendo bei rahisi angalau Kwa kkoo nataka anza uza mkoani.. Please
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu zama kariakoo.Nahitaji maduka wanayouza viatu vya kiume na Sendo bei rahisi angalau Kwa kkoo nataka anza uza mkoani.. Please
Bado zipoPS3 NANUNUA 150000 PS4 400000
Safi
Kama kichwa cha habari kinavyo someka ningependa uzi huu uwe maalum kwa kupeana connection mbalimbali za biashara. Biashara bila connection unaweza fanya bila mafanikio, hivyo basi ni vizuri tupeane connection mbalimbali za biashara.
Uzi huu utumike kuwakutanisha watu mbalimbali katika biashara tofauti tofauti na mwisho wa siku kupeana connection za biashara kutokana na ombi la muhusika. Wapo watu mbalimbali katika dunia hii, wana mitaji mizuri tu lakini kutokana na kutokuwa na connection wametulia na mitaji yao. Hivyo basi uzi huu uwe msaada kwao.
Elezea unahitaji connection ipi katika biashara kisha subiri kupewa connection na wahusika katika biashara hiyo. Lengo ni kusaidiana na si vinginevyo. Tuweke roho mbaya pembeni kisha tuungane pamoja katika gurudumu la maendeleo.
Wadau karibuni katika uzi huu tupeane connection za biashara.
Unataka kufugia eneo ganiNinahitaji kuanza ufugaji wa kisasa wa kuku na ng'ombe wa maziwa, mweny ABCD kwenye sekta hii anipe muongozo
Haya ya ukubwa gani? SizeUnahitaji kuanza biashara ya mashuka???
Karibu 0699406065 calls na whatsApp
Shuka za uganda foronya 80 na shuka 40 unapata kwa 650,000
SIze 7*8Haya ya ukubwa gani? Size
Mjmi unipe njia ya kuzipata uko ugandaUnahitaji kuanza biashara ya mashuka???
Karibu 0699406065 calls na whatsApp
Shuka za uganda foronya 80 na shuka 40 unapata kwa 650,000
Akikujibu uniitag...japo sina uhakikaMjmi unipe njia ya kuzipata uko uganda
Habari za leo wadau. Naomba Connection ndugu zangu. Hizi Slippers zinapatikana Chimbo gani na bei ya jumla jumla ni Shilingi ngapi.
Kama kichwa cha habari kinavyo someka ningependa uzi huu uwe maalum kwa kupeana connection mbalimbali za biashara. Biashara bila connection unaweza fanya bila mafanikio, hivyo basi ni vizuri tupeane connection mbalimbali za biashara.
Uzi huu utumike kuwakutanisha watu mbalimbali katika biashara tofauti tofauti na mwisho wa siku kupeana connection za biashara kutokana na ombi la muhusika. Wapo watu mbalimbali katika dunia hii, wana mitaji mizuri tu lakini kutokana na kutokuwa na connection wametulia na mitaji yao. Hivyo basi uzi huu uwe msaada kwao.
Elezea unahitaji connection ipi katika biashara kisha subiri kupewa connection na wahusika katika biashara hiyo. Lengo ni kusaidiana na si vinginevyo. Tuweke roho mbaya pembeni kisha tuungane pamoja katika gurudumu la maendeleo.
Wadau karibuni katika uzi huu tupeane connection za biashara.
Habari za leo wadau. Naomba Connection ndugu zangu. Hizi Slippers zinapatikana Chimbo gani na bei ya jumla jumla ni Shilingi ngapi.
Asanteni.View attachment 2651054
Nipo Dodoma. Popote pale naweza kuagiza mzigo nikipata mawasiliano.Uko mkoa gani? Me nafaham chimbo moja liko kule irnga ni wachina wanauza
Inapatikana wapiHABARI,
NAUZA GARI YANGU HILUX ENGINE YA 1KZ,MANUAL KAMA ILIVO NIMEPAKI MDA WA MIEZI 6 KWA BEI YA 12M BILA MAONGEZI.TAFADHALI MTU SERIOUS AJE INBOX View attachment 2652418View attachment 2652419View attachment 2652420View attachment 2652421View attachment 2652422View attachment 2652423
Mbezi beachInapatikana wapi