donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,128
- 21,885
Kwa anayejua wanapouza mikundu ya kuku kwa bei ya jumla naomba anichek please
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nina Imani nimesoma vibayaKwa anayejua wanapouza mikundu ya kuku kwa bei ya jumla naomba anichek please
Hapana ni sahihi kabisa. Kuna soko nimelibumia huku kibaigwa aisee hivyo video ni kama vinauchawi watu wanavitafuna balaa vya kukaanga hata ukienda kwa wanaouza kuku wa kukaanga kwenye meza ukiulizia hizo ndude wanakwambia hazipoNina Imani nimesoma vibaya
Nimeamini verse ya FA inayosemaHapana ni sahihi kabisa. Kuna soko nimelibumia huku kibaigwa aisee hivyo video ni kama vinauchawi watu wanavitafuna balaa vya kukaanga hata ukienda kwa wanaouza kuku wa kukaanga kwenye meza ukiulizia hizo ndude wanakwambia hazipo
Nina Imani nimesoma vibaya
Nenda pale kwenye kiwanda cha Inter chick. Dar/ bagamoyo Road. Tena vyakutoshaKwa anayejua wanapouza mikundu ya kuku kwa bei ya jumla naomba anichek please
Nahitaji dicoda, Azam au Dstv, ya bei nafuu
mkuu upo dodoma sehemu gan bado unahitaj?Nipo Dodoma. Popote pale naweza kuagiza mzigo nikipata mawasiliano.
Machinga hapa. Tayari nilipata mzigo ndugu.mkuu upo dodoma sehemu gan bado unahitaj?
Nitakucheki mkuumaziwa anayehitaji maziwa fresh kuanzia lita 10 bei kilaa lita 1500 anichek 0625969094
Sent from my OPPO A57 using JamiiForums mobile app
Kiasi Gani na upo wapiNataka mifuko ya kg 50
Niko moshi bei gani unauzaKiasi Gani na upo wapi