Uzi maalumu wa kupeana connection mbalimbali za biashara

Natafuta connection ya Investor ambaye atakuwa anawekeza hela za kuwalipa mafundi na kununua materials pindi tender ikipatikana. Faida itagawanywa kulingana na kazi husika.

Mawasiliano (Whatsap): 0652448233
Funguka kidogo mdau kazi gani na je ni investment ya bei gani inahitajika?
 
Uza wewe kama ni jambo rahisi
 
Habari, nahitaji connection ya hizo pochi kwa bei ya jumla kariakoo
 

Attachments

  • IMG-20240229-WA0004.jpg
    154.1 KB · Views: 23
  • IMG-20240229-WA0003.jpg
    130.4 KB · Views: 25
  • IMG-20240229-WA0000.jpg
    233.6 KB · Views: 29
  • IMG-20240229-WA0001.jpg
    143 KB · Views: 22
  • IMG-20240229-WA0002.jpg
    145.9 KB · Views: 27
Bado mzigo upo?
 
*iPhone 12 Plain
No Face
128GB*
💰790,000/=
Call/WhatsApp 0683731404
Free delivery around Dar es salaam Boundaries
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…