Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kufungua kivip unataka kushareMwenye connection ya kufungua company ya nguo za watoto jinsia zote me na ke kuanzia miaka 2-15
Funguka kidogo mdau kazi gani na je ni investment ya bei gani inahitajika?Natafuta connection ya Investor ambaye atakuwa anawekeza hela za kuwalipa mafundi na kununua materials pindi tender ikipatikana. Faida itagawanywa kulingana na kazi husika.
Mawasiliano (Whatsap): 0652448233
Nimekutumia text inbox mkuu.Funguka kidogo mdau kazi gani na je ni investment ya bei gani inahitajika?
Hii kaka nenda Handen Tanga pale stendi Kuna mnada mkubwa wa kuku kienyejiMwenye connection wanakopatikana kuku wa kienyeji kwa ajili ya kufuga.
Upo siku gani na siku gani na Bei je kwa makadilio..??Hii kaka nenda Handen Tanga pale stendi Kuna mnada mkubwa wa kuku kienyeji
Uza wewe kama ni jambo rahisiHabari za majukumu wana JF.
Naomba niwape fursa (promotion price) kwa itakaowafaa
Tunafanya biashara ya saa (jumla) na tupo kariakoo - Dar es Salaam.
Leo nina fursa kwa vijana wapambanaji na yeyote mwenye uwezo na nafasi ya kuuza saa kwa maeneo alipo
Tuna saa za aina tofauti za seli ambazo tunauza kwa bei ya ofa kuanzia sh. 1000 hadi 1500
(Seli maana yake ni zile bidhaa ambazo utokaji wake umekua sio wa haraka hivyo tunafanya maamuzi ya kuzitoa stoo ili ziachie nafasi ya bidhaa nyingine kukaa, hii sio kwa saa tu inaweza kuwa seli ya vyombo nguo n.k)
Sisi tunazo saa za chuma (kiume na kike), tuna za plastic (kiume na kike pia) ambazo badala ya bei yake halisi ya 3500 hadi 4000 (kwa jumla), sasa tunaziuza kwa 1000 hadi 1500.
Ni saa ambazo ukichukua pc hata 200 hautachukua muda kuzimaliza endapo na wewe pia utakwenda kuuza kwa bei rafiki (promotion) kama ulivyonunua.
Mfano saa za sh. 1000 na 1500 unaweza kuuza kwa kwa sh. 2000 kila moja ili mzigo ukimbie haraka na uweze kuchukua mwingine.
Ninawahakikishia hii ni zaidi ya fursa maana saa hizi za promotion zina utokaji mzuri sana haswa ukienda kuuza maeneo ya mkusanyiko kama sokoni, shuleni, stand n.k
TUPO KARIAKOO, PIA TUNATUMA MIKOANI. karibuni sana.
# 0699669515 [emoji338]
Bado mzigo upo?Habari za majukumu wana JF.
Naomba niwape fursa (promotion price) kwa itakaowafaa
Tunafanya biashara ya saa (jumla) na tupo kariakoo - Dar es Salaam.
Leo nina fursa kwa vijana wapambanaji na yeyote mwenye uwezo na nafasi ya kuuza saa kwa maeneo alipo
Tuna saa za aina tofauti za seli ambazo tunauza kwa bei ya ofa kuanzia sh. 1000 hadi 1500
(Seli maana yake ni zile bidhaa ambazo utokaji wake umekua sio wa haraka hivyo tunafanya maamuzi ya kuzitoa stoo ili ziachie nafasi ya bidhaa nyingine kukaa, hii sio kwa saa tu inaweza kuwa seli ya vyombo nguo n.k)
Sisi tunazo saa za chuma (kiume na kike), tuna za plastic (kiume na kike pia) ambazo badala ya bei yake halisi ya 3500 hadi 4000 (kwa jumla), sasa tunaziuza kwa 1000 hadi 1500.
Ni saa ambazo ukichukua pc hata 200 hautachukua muda kuzimaliza endapo na wewe pia utakwenda kuuza kwa bei rafiki (promotion) kama ulivyonunua.
Mfano saa za sh. 1000 na 1500 unaweza kuuza kwa kwa sh. 2000 kila moja ili mzigo ukimbie haraka na uweze kuchukua mwingine.
Ninawahakikishia hii ni zaidi ya fursa maana saa hizi za promotion zina utokaji mzuri sana haswa ukienda kuuza maeneo ya mkusanyiko kama sokoni, shuleni, stand n.k
TUPO KARIAKOO, PIA TUNATUMA MIKOANI. karibuni sana.
# 0699669515 [emoji338]
Mnaotaka mahindi jumla njooni inbox.
16k÷5 = 3200 (okay labda na cost ya kibebeo).NAWAKARIBISHA WAPENZI WOTE WA MAZIWA MGANDO (MTINDI) NAPATIKANA DARESALAM MAKUMBUSHO LITA TANO KWA SHILINGI ELFU Tsh. 16,000/= TU TUPIGIE KWA NAMBA YA SIMU 0625710860 KARIBUNI SANA ,, TUNFANYA DELIVERY POPOTE ULIPO NDANI YA MKOA WA DARESALAM BUREE
View attachment 2777702
Ndo uuze elfu 40Nataka connection ya kuuza rim paper size ya A4 gm 80 yeyote anayehitaji aje inbox nakutumia pia mkoani mawasiliano yangu 0789386320.
Kwa Io umeskia nimesema 40 rim saivi 57000Ndo uuze elfu 40
Naomba kupata connection ya kuuza safari bags Kama hizi zangu za mtumba