Ni kweli kiongozi ila tusibase sana kwenye secta moja tu tupeane Update hata kwenye ishu za Madini tujuwe chimbo wapi na niaina gani ya Madini inapatikana natanguliza shukrani wale wadau waje watujuzeMimi nmepata ideas, nme note down nategea siku Mungu akifungua milango akaleta baraka zake nijiingize rasmi ktk kujiajiri.. one day yes #TheMarathonContinues [emoji120][emoji469]
Sent using Jamii Forums mobile app
Dom nenda majengo sokoni karibu na wanakashushia viazi na ndizi Kuna watu apo daily wanaenda minadani watakupa somoWadau uzi umekuwa wakunivutia na mimi nahitaji connection za wapi kwenye Minada ya Ng'ombe kwa mikoa kama Vile Dodoma,Morogoro,Pwani au Tanga kwa kuanzia tupeane Update
Mkuu iko shinyanga hio au vp?
Pamoja kiongozi ila kwa saizi np Dar ntafanya ivyoDom nenda majengo sokoni karibu na wanakashushia viazi na ndizi Kuna watu apo daily wanaenda minadani watakupa somo
Sent using Jamii Forums mobile app
kila la kheri mkuuMimi nmepata ideas, nme note down nategea siku Mungu akifungua milango akaleta baraka zake nijiingize rasmi ktk kujiajiri.. one day yes #TheMarathonContinues [emoji120][emoji469]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nmepata ideas, nme note down nategea siku Mungu akifungua milango akaleta baraka zake nijiingize rasmi ktk kujiajiri.. one day yes #TheMarathonContinues [emoji120][emoji469]
Sent using Jamii Forums mobile app
Anayehitaji connection ya kupata dagaa wa Mwanza waliokaangwa kwaajili ya kula au biashara na yupo mkoani anahitaji mtu amnunulie na kumtumia karibu PM, hata ukihitaji samaki karibu pia, nitume nikushughulikie.
Nikumbe namba ya mhusika bossWakuuu natafuta kiwanda cha mifuko ile ya kuhifadhia nafaka kwa hapa dar es Salaam. Zile mifuko ya poly bags.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyegezi karibu na stand mpya
Mkuu upo maeneo hayo?
Habari mkuu?Karanga za mpwapwa na tabora hazifanani...za tabora ni nzuri zaidi pia kibiashara😊! Nw kilo ni 2500
Habari mkuu?
Ikikupendeza naomba unifungulie PM ninashida na connection ya biashara ya karanga ya Tabora, nataka kujuwa na bei na naweza kupata kwa uwingi kwa mara moja?
Habari mkuu?
Ikikupendeza naomba unifungulie PM ninashida na connection ya biashara ya karanga ya Tabora, nataka kujuwa na bei na naweza kupata kwa uwingi kwa mara moja?