Uzi maalumu wa kupeana connection mbalimbali za biashara

Mimi nmepata ideas, nme note down nategea siku Mungu akifungua milango akaleta baraka zake nijiingize rasmi ktk kujiajiri.. one day yes #TheMarathonContinues [emoji120][emoji469]

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli kiongozi ila tusibase sana kwenye secta moja tu tupeane Update hata kwenye ishu za Madini tujuwe chimbo wapi na niaina gani ya Madini inapatikana natanguliza shukrani wale wadau waje watujuze
 
Habari mkuu?
Ikikupendeza naomba unifungulie PM ninashida na connection ya biashara ya karanga ya Tabora, nataka kujuwa na bei na naweza kupata kwa uwingi kwa mara moja?

Next tym ukitaka uzipate nyingi nenda nov au dec...uwawezeshe hela kidg wakulima...hela ndogo ndogo za watoto kwenda shule..utakusanya gunia balaa sasa hivi kidg zitakuwa adimu!..zipeleke tu hata moro/ifakara...ikikupendeza utakuja toa shuhuda hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…