Ni kweli kiongozi ila tusibase sana kwenye secta moja tu tupeane Update hata kwenye ishu za Madini tujuwe chimbo wapi na niaina gani ya Madini inapatikana natanguliza shukrani wale wadau waje watujuzeMimi nmepata ideas, nme note down nategea siku Mungu akifungua milango akaleta baraka zake nijiingize rasmi ktk kujiajiri.. one day yes #TheMarathonContinues [emoji120][emoji469]
Sent using Jamii Forums mobile app