I and myself
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 328
- 324
Waki kupa na Mimi ni tag mana ndo mishe iliyo kichwanj mwangu miaka mingi Mungu mwema ipo siku Nita ifanya tu.. Kwa pwani kuna mtu aliwahi nieleza maeneo ya vigwaza ila hafahamu vigwaza ni sehemu ganiWadau uzi umekuwa wakunivutia na mimi nahitaji connection za wapi kwenye Minada ya Ng'ombe kwa mikoa kama Vile Dodoma,Morogoro,Pwani au Tanga kwa kuanzia tupeane Update
Mkipata na Mimi mnishtue au tujoin forces tupige pamojaWaki kupa na Mimi ni tag mana ndo mishe iliyo kichwanj mwangu miaka mingi Mungu mwema ipo siku Nita ifanya tu.. Kwa pwani kuna mtu aliwahi nieleza maeneo ya vigwaza ila hafahamu vigwaza ni sehemu gani
Mbona kama umekurupuka vile,au ndio swahumu Kali???wapi nimeandika 5000/=??Nawewe unazingua hakuna kuku wa kienyeji mkubwa kwa bei ya 5000/- hapa Dar, iwe reja reja au jumla.
Hata ukitaka kuku 1000 kwa siku hupati kwa hiyo bei. Labda kama unataka bado wadogo (siyo vifaranga) wa kwenda kufuga
Heshimuni biashara za watu.
Na yule mdau naye bei zake ni za reja reja hazifanani na bei ya jumla.
Kama vipi msichafue uzi mzuri kwa post zenu za bei zisizo na uhalisia.
Wadau uzi umekuwa wakunivutia na mimi nahitaji connection za wapi kwenye Minada ya Ng'ombe kwa mikoa kama Vile Dodoma,Morogoro,Pwani au Tanga kwa kuanzia tupeane Update
Wakuuu natafuta kiwanda cha mifuko ile ya kuhifadhia nafaka kwa hapa dar es Salaam. Zile mifuko ya poly bags.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuku wa elf 5 wakubwa au wadogo mkuu
Ndugu wewe upo pande zipi kwani..
Waki kupa na Mimi ni tag mana ndo mishe iliyo kichwanj mwangu miaka mingi Mungu mwema ipo siku Nita ifanya tu.. Kwa pwani kuna mtu aliwahi nieleza maeneo ya vigwaza ila hafahamu vigwaza ni sehemu gani
ringa huko minada ya mifugo nahisi ni mingi sana njia ya Dodoma hiyo kama ukivuka mtera pale kuna kijiji kimoja kina itwa chipogolo nao huwa wana minada...
Ulikuja ukayaona hayo masemi? Afu hakuna anayefanya biashara isiyo na faida sijaanza Leo hii shughuli na lengo langu sio kubeba kuku pekeyake acha ujuaji
Katika zurura zurura nilipita kijiji kimoja kinaitwa kalando kama sijakosea kijiji hiki kipo sumbawanga kama unaenda mpanda unaingia kushoto , kipo pembeni ya ziwa Tanganyika .
Huku kuna fursa lukuki ikiwemo mchele samaki na mbao , mizigo ni mingi sana ya kuja mjini ila magari ni yakusua sua . njia ni vumbi japo inapitika . mbali na usafiri huku kuna fursa saaaana kwa biashara tajwa hapo juu
Sent using Jamii Forums mobile app
Thanks mkuu nitaenda wkend kufanya surveyringa huko minada ya mifugo nahisi ni mingi sana njia ya Dodoma hiyo kama ukivuka mtera pale kuna kijiji kimoja kina itwa chipogolo nao huwa wana minada... Mm na jamaa yangu yupo Iringa alikuwa ana ifanya hii biashara toka tupo chuo ila sasa amebadilisha amehamia kwenye hardware mwang'ingo hapo.. Sema simu yangu ilipotea basi namba nikapoteza ninge mpata huyu mtu mambo yangu asilimia kubwa kwenye hii bzness ingekuwa sawa
Sawa tutaomba mrejesho