I and myself
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 328
- 324
Waki kupa na Mimi ni tag mana ndo mishe iliyo kichwanj mwangu miaka mingi Mungu mwema ipo siku Nita ifanya tu.. Kwa pwani kuna mtu aliwahi nieleza maeneo ya vigwaza ila hafahamu vigwaza ni sehemu ganiWadau uzi umekuwa wakunivutia na mimi nahitaji connection za wapi kwenye Minada ya Ng'ombe kwa mikoa kama Vile Dodoma,Morogoro,Pwani au Tanga kwa kuanzia tupeane Update