Uzi maalumu wa kupeana connection mbalimbali za biashara

Mm na asali mbichi lita za kutosha Bei zake
Lita moja 12000
Lita tano. 55000
Niko Dar es Salaam
Ukitaka zaid ya hapo pia unaweza pata
No 0746696878
 
Na
Na huu mwezi ujao wa sita kwa kule hakuna mavuno yyt ausio,Na je kwa kipindi hiki cha hili janga la Corona mpaka mwezi wasita ni wapi wana vuna kuweza ku changamkia Fursa,sa'bu kuna mtu ali pasifia sana Mlimba naww ukawa haupo nyuma kutupia mazuri ya kule πŸ™
 
mlimba kuvuna washaanza tangu mwezi wa tatu mahindi ,mwezi huu wameanza kuvuna mpunga watamaliza mwezi wa Saba, kuhusu usafiri labda utumie treni magari barabara ni changamoto kipindi hiki labda baada ya mwezi jua liwake wake
 
mlimba kuvuna washaanza tangu mwezi wa tatu mahindi ,mwezi huu wameanza kuvuna mpunga watamaliza mwezi wa Saba, kuhusu usafiri labda utumie treni magari barabara ni changamoto kipindi hiki labda baada ya mwezi jua liwake wake
Ok sawasawa,so mpaka sasa wana endelea na mavuno? Na je kwa swala la mpunga au mchele km kule barabara ni changamoto je kwa Ifakara au huko Mlimba wapi unaweza kupiga bao vzr>>> ww ndio Damian J ulio leta hii taarifa ya mlimba,nadhani Ifakara pia utakua una ijua kwa swala hili la Nafaka.
 
Kwa ifakara sifahamu sijawahi kutembelea huko ila huku mlimba barabara ipo kwenye matengenezo maana kunakipande kilijaa tope
 
Umechanganya madesa huyu ana taka umpe taarifa za Mlimba kilombero Morogoro wewe umempa taarifa za Kilindi Tanga
 
Uko wapi mkuu? Na kuku unauza mmoja shilingi ngapi na ana kilo ngapi?

Naomba connection nikusambazie KuKu wa kienyeji wa kubwa kama una supermarket au Hotel naweza kuandaa kwa kuchinja na kusafisha, Pia kama unahitaji dagaa nicheki tufanye biashara.
 
Nauza Soya Lishe kilo sh. 1,400 ipo Iringa mjini. Mwenye kuhitaji anicheki PM
 
Wakuu,
Baraza nawasalimu.
Mimi natafuta connection ya mnunuzi wa shamba langu naliuza lenye ukubwa wa kama eka 3 maeneo ya Kemondo Bukoba Nipigie tu simu no. 0714546938
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…