shokoshugi
JF-Expert Member
- Oct 13, 2015
- 269
- 390
Bwana Mimi mbaazi nipo nazo zakutosha tu niambie unataka kiasi gani...gunia ngapi!..Bei usijali
Nenda Tandika sokoni, nazionaga nyingi na soko la Tazara vetenary nayaonaga mengi hayo mapipa.Wakuu nahitaji mwenye hizi pipa au mwenye connection kujua wapi naweza zipata kwa wingi na bei ya jumla .Natanguliza shukrani View attachment 1573142View attachment 1573143
Ukitumia hii unakua una touch kwenye magnifier?Smart solution tumekuletea device mpya kwa ajili ya kukuza mwonekano wa screen ya smartphone yako zinazojulikana Kama screen magnifiers.
Zipo za inchi 14 na bei yake ni 50,000/=
Tunapatikana Dodoma lakini tunatuma mikoa yote Tanzania bure yaani ni free delivery.
0710846721View attachment 1573387
Dodoma maeneo gani?Smart solution tumekuletea device mpya kwa ajili ya kukuza mwonekano wa screen ya smartphone yako zinazojulikana Kama screen magnifiers.
Zipo za inchi 14 na bei yake ni 50,000/=
Tunapatikana Dodoma lakini tunatuma mikoa yote Tanzania bure yaani ni free delivery.
0710846721View attachment 1573387
Hizo zinauzwa ghali 45k - 50k Mimi nahitaji toka viwandani ambapo bei ni 20k -25k. Hizi huwa zinaletea malighafi hasa kemikali kwa baadhi ya viwanda ila sijajua hasa ni viwanda gani.Nenda tandika sokoni nazionaga nyingi na soko la tazara vetenary nayaonaga mengi hayo mapipa
Hapana mkuu hauwezi touch.
NitakuchekUngekua simiyu biashara ya mpunga ingekutoa sanaa,unakua na milioni yako 1 unanunua magunia yako kadhaa unayaweka ndani baada ya miezi kadhaa unakoboa unauza mchele. Fursa nzuri sanaa hyo nami hv soon nitaifanya maana ndo nyumbani huko.
Cheki hapoNaomba kujua bei ya gunia la vitunguu
Nilitembelea minada ya Iringa mvumi na maeneo ya jirani kwa wauzaji, asilimia kubwa ya kuku wanauzwa 7000-9000 peah. Nina mtu anafanya hiyo biashara ila yeye huwa anachukulia Singida na Tabora kwa bei hizo kwa ukubwa wa kuku wa Singida na Tabora ndio wanamaumbo makubwa tofaut na wa Dodoma.Utafiti wako ulifanyia wapi Mkuu..?
Nimefanya tafiti pia, kwa maeneo ya Pwani, Kuku wa kienyeji wanapatikana kwa bei niliyoitaja na kwa sehemu bei ulizotaja. Nikiri hapa, supply is very limited.
Pia, ule utaratibu uliotolewa na Mkulu kuwa ushuru haulipwi kwa mzigo wa chini ya tani 1, haujumuishi kuku?
NitakuchekWadau baada ya corona kusimamisha kazi zangu; sasa natafuta connection ya kuuza dagaa Dodoma na Dar. Dagaa wa Musoma weupe na hawana mchanga hata tone.! Wanaanikwa kwenye neti. Kazi yangu ni kuwakusanya kwa waanikaji na kutafuta soko la kuwatuma Dodoma na Dar. Ni dagaa wazuri ambao ukifika nyumbani ni kuosha na kupika. Natafuta soko nianze kuwakusanya. Ambao wapo serious tuwasiliane ili nianze kuingia mtaani kuwakusanya. Contact; 0652527776
Kuna sehemu hapa Ubungo Maji karibu na kanisa la Gwajima, huwa naona wameweka, jaribu ucheki huenda zinauzwa, ama watakusaidia kujua zinakouzwa. Ila hujasema unaulizia uko wapi?Wakuu nahitaji mwenye hizi pipa au mwenye connection kujua wapi naweza zipata kwa wingi na bei ya jumla .Natanguliza shukrani View attachment 1573142View attachment 1573143