shokoshugi
JF-Expert Member
- Oct 13, 2015
- 269
- 390
Nipo interested pia naomba taja bei zako, mimi niliulizia Masasi. Kwa kukusanya vijijini bei 300 @kg kwa kukusanyia Masasi mjini bei 420@kg wakileta mpaka Dar inauzwa 550@kg
Bwana Mimi mbaazi nipo nazo zakutosha tu niambie unataka kiasi gani...gunia ngapi!..Bei usijali