Uzi maalumu wa kupeana connection mbalimbali za biashara

Wapi nitapata Laptop Used (ZILIZOTUMIKA NJE) Kwa bei ya Jumla kuanzia Pc 5+ naomba kuelekezwa wanapouzia na mawasiliano pia,

Muuzaji asiwe wa reja reja tafadhali .

Asante
View attachment 1720562
 

Attachments

  • IMG_20200708_140822.jpg
    171.3 KB · Views: 9
Nahitaji machine ya kufyatulia tofali, wapi naweza kupata na bei gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…