Uzi maalumu wa kupeana connection mbalimbali za biashara

Napenda sana kufanya biashara ya kununua mpunga Kilosa Morogoro, lakini sijui nianzie wapi niishie wapi? Mwenye kujua tafadhali.......
 

Mkuu bado upo maeneo hayo?? Damian J Ntundagi
 
Nahitaji Asali ambayo haijawa processed kwa Bei ya Jumla.. kama litre 20 hv
Location: Mbeya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…