wa zion
JF-Expert Member
- Mar 23, 2013
- 223
- 481
kwa hio ile ndoo ndogo ya lita 10 unauza sh ngap?
[/QUOTE
wakavu ndoo inakua ni kubwa kwa 25000 na wa kukaanga ndoo ndogo kwa 40000. NB wakukukaanga ni wale wanaotoka ziwani na kukaangwa moja kwa moja maana kuna ambao wanaanikwa juani kwanza ndio wanakaangwa hao ni bei rahisi na siwauzi sababu ni wachungu ukiwala.