Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Natafuta mwenye connection ya wanapouza CD zilizotafsiriwa kwa bei ya jumla
Naomba nitajiwe bei yake
Pia nahitaji connection wanapouza charger USB earphones flash screen protector na cover za simu kwa bei ya jumla
Sent using Jamii Forums mobile app
Nambie kaka connections zamahindKama utahitaji connection ya mahindi unaweza nicheki
Naamini huu uzi utakuwa endelevu na wenye manufaa na naamini Mungu ataweka mkono wake kusitokee utapeli wa aina yoyote ile ,,Amani na Upendo vikatutawale
Sent using Jamii Forums mobile app
Njoo mlimba Kuna Kijiji kinaitwa idui Kuna kuku Hadi wa elfu tano
Wew ni mnunuzi wa mbao aina ganNatafuta connection ya biashara ya mbao
@YoungJigger
Mkuu kuna nyumba za kulala wageni huko bei gani?Mlimba mjini laki tano mpaka milioni nakuendelea inategemeana na ukubwa wa kiwanja vijiji vingi nilivyotembelea wanauza kwa laki mbilinahamsini mpaka tatu kiwanja Cha 30 kwa 40
Mkuu kuna nyumba za kulala wageni huko bei gani?
Mwenye connection na bei nzuri ya zao la ulezi - finger millet anipm, upo tani za kutosha.
![]()
Nichek kwa hzo noGunia la kilogram 100 ni kiasi gani.?
Nichek kwa hzo no
1000_1300@kg kwenye mashine za mlimba mjiniJaman mchele n bei gani kwa Sasa huko vijijin
god is good
1000_1300@kg kwenye mashine za mlimba mjini