Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Yes..hii ilikua bei ya march...nadhani itskuwa imepnda kidg nw au same priceZilizomenywa au?
Sent from my iPhone using JamiiForums
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yes..hii ilikua bei ya march...nadhani itskuwa imepnda kidg nw au same priceZilizomenywa au?
Sent from my iPhone using JamiiForums
Msimu wa kuvuna mahindi ushaisha
Ainisha maeneo na bei zake mkuu.Kwa anaehitaji maeneo mazuri ya uwekezaji wa biashara, nyumba na makazi mji mkuu dodoma. Viwanja vipo kwa bei poa kabisa. Karibuni
Ainisha maeneo na bei zake mkuu.
Hasa maeneo ya makazi nahitaji kujua
Sent using Jamii Forums mobile app
Hello mm ninayo ya nyuki wakubwa pure kabisa vipi Kama una connection piaaNjo Pm nikuunge na mtu namjua yupo tabora na ndo biashara anayofanya
Sent from my iPhone using JamiiForums
Njoo pmSalama. Mwenye connection ya wahusika wa mashine za kupukuchua mahindi. Please.
Sent using Jamii Forums mobile app
Upo wapi karatu mahindi sasa ni sh.45000 gunia mengi tu,maharage yapo pia ila bei sijajua ukihitaji nikukonnectMchele kilo sh ngapi ninaitaji conection ya mazao mahindi maharage na mchele. Mwenye kujua ni pm
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani una mzigo unataka gari la kuchukua mzigo wa tan 30 ama?
Aisee sie wengine tunauziwa 3000 mpaka 3500 hizo 2x2.Na rafiki anafany hii mishe..sasa mimi niliko hiyo 2*2 nilinunua 2000@ ..nikamwambia hakuamini...duh..yaan huko porini 500!!!
Wako kayika hali gani..wabichi au?Anaye taka connection ya samaki wa mwanza ni pm, mtaji ni kuanzia 50,000 tu. Nakutumia mzigo na watakulipa mno
Aisee sie wengine tunauziwa 3000 mpaka 3500 hizo 2x2.
Wamekaangwa mkuu na mzigo unakufkia ndani ya saa 48 tuWako kayika hali gani..wabichi au?
Wakuu,
Mimi Nina Michele wa kutosha.
Yeyote anayehitaji au ana mteja nauza gunia shs 190,000/= (Grade 1) gunia shs 170,000/= ( Grade II) Maelezo zaidi piga simu 0715888376
Naomba nitumie namba yako pm Kuna dili la kusafirisha kuku mlimba kwenda darNina truck yangu ton 3.5 hadi 4 mwenye mzigo wake anayetaka kusafilishiaaa au kama una connection niambiee...napigaa kambi popote...kama una connection ya mizigo toka vijijini kwenda mjini au injee ya mikoaa nijuzeee
Sent using Jamii Forums mobile app