Uzi maalumu wa kupeana connection mbalimbali za biashara

Uzi maalumu wa kupeana connection mbalimbali za biashara

Happy New Week,

#Jipatie

Logo kwa Tsh. 35000,

Flyers na Posters kwa 20000,

Brochures kwa 30000,

Business Card pc 110 kwa 35000

Tunafanya kazi zote za Graphic Designing,

Pia tunafanya Video Editing & Making.

Tucheki #0620275619

#NipeDili #ayendamethusela
 
Kama kuna mdau humu na ni nguli pale soko la stereo tukae pamoja tuunganishe mawazo, nguvu na mtaji tuingize mazao pale toka shamba faida tutagawana kadri itakavyopatikana.
 
BIASHARA IPI UFANYE??

Watu wengi sasahivi wamekuwa wakitafuta kuwa ni biashara gani afanye ili kujiingizia kipato katika maisha yake

wengine wameamua kuuza nguo nawengine biashara ya duka
pia wengine wameamua kuuza vyakula mfano butcher

SWALI KUBWA LA KUJIULIZA NI BIASHARA IPI NI NZURI NA INAHITAJI MTAJI MDOGO???

JIBU:biashara ambayo inaweza kukupatia kipato ni ile iliyo na uwezo wa kutatua matatizo ya watu
Ahaaa kumbe ukitafuta tatizo ambalo linawasumbua watu wengi ndipo ambapo unaweza pata pesa

Na hakuna sehemu nzuri ya kupata pesa nyingi kama kupitia kutatua matatizo ya afya, kutatua matatizo hayo sio mpaka uwe umesoma ila unaweza jifunza na ukafahamu na ukamsaidia mtu

KONA HIZO AMBAZO PESA NYINGI HUPATIKANA NI

1.MAGONJWA YA MFUMO WA UZAZI
Hii nikwa mwanamme au mwanamke unaweza jikita katika pande zote mfano wanaume wanasumbuliwa na matatizo ya
UUME KUWA LEGELEGE,TEZI DUME,UUME KUTOSIMAMA VIZURI .,MADHARA YA PUNYETO

Upande wa wanawake wanasumbuliwa na matatizo kama
MAJI KWENYE MAYAI,FANGASI,SHINGO YA KIZAZI

Hivyo unatafuta dawa ambazo zinauwezo wa kutibu tatizo hilo na unajitangaza kwamba wewe ni mtaalamu wa kutibu matatizo hayo hapa ndipo unaweza tafuta kampuni ambalo dawa zake ni imara na ambalo utajiunga kwa bei rahisi ili uwe member

Pesa utapata maana utanunua katika kampuni kwa bei rahisi
na wewe ndio utapanga bei ya kuuza dawa yako na nakushauri ni vyema ukajiunga na kampuni la BF SUMA maana utajiunga kwa sh.40000 tu na utakuwa member na utanunua kwa bei ya punguzo

2.MAGONJWA YA KISUKARI

Magonjwa haya yamekuwa sugu na watu wametumia madawa ya hospitali bila mafanikio
unaweza jitangaza kuwa wewe unauwezo wa kutibu tatizo hilo na hivyo watu kukufata na kuwapa huduma yako

Kwavile utakuwa umejiunga na kampuni kwa sh,40000 tu basi utachukua dawa kwa bei rahisi na wewe utauza kwa bei unayoitaka na mgonjwa wako atapona

3.MAGONJWA YA VITAMBI

Unaweza jitangaza na kujibrand wewe kuwa unauwezo wa kutibu watu wenye vitambi, na hivyo watu wakikufata utawahudumia kwa kuwapa dawa za kampuni la BF SUMA maana utakuwa umejiunga na hivyo kwakua linanguvu hivyo mgonjwa wako atapona na hivyo utapata faida maana bei unapanga wewe

4.MAGONJWA YA MENO PAMOJA NA MACHO
Pia unaweza kuisaidia jamii yako kutibu tatizo la macho na meno kutokana na dawa utakazo wapa za kampuni

kwa vile zina nguvu watu watakupenda na utapata wateja wengi sana

5.VIDONDA VYA TUMBO PAMOJA NA MATATIZO YA TUMBO

Pia unaweza saidia jamii yako kutatua tatizo la vidonda vya tumbo kupitia dawa za kampuni lako la BF SUMA

6.NGOZI MA NYWELE
Pia unaweza isaidia jamii kupitia matatizo kama hayo
na kuwafanya watu wapendeze sana
hapa utawashika wote wanaume kwa wanawake

JINSI YA KUPATA WATEJA

Vijana wengi wamekuwa wakijiunga katika kampuni bila kujua wanaenda kufanya nini hivyo ni vyema kama ukachagua kitu kimoja cha kutatia katika jamii yako hii haijarishi wewe ni mwanafunzi au mfanya kazi unaweza fanya

Ukitumia vizuri mtandao wa facebook utapata wateja wengi sana sana sana

JINSI YA KUFANYA FACEBOOK

Kamwe usipost bidhaa za kampuni lako ila jikite kutoa mafunzo juu ya hicho ambacho umeamua kukifanya

Harafu tengeneza group la whatsapp katika simu yako harafu andika tangazo facebook kuwa wewe unauwezo wa kutatua tatizo flani na kopi link ya group lako la whatsapp libandike kwenye tangazo lako

Hivyo kila atakae gusa link ataingia kwenye group lako na hapo ndipo utaweza uza sana sana
Ili kupata wateja wengi unaweza lipia tangazo lako na facebook ikakutangazia kwa watu wengi zaidi unaweza toa kama dolla 5 ambayo ni kama sh10000 tu na wakakutangazia kwa watu kama 20000 ambao unawataka wewe

BAADA YA KUJUA KUWA UNAJIUNGA NA KAMPUNI KUFANYA NINI BASI VIZURI

JINSI YA KUJIUNGA NA KAMPUNI YA BF BF Suma

Kampuni hili kwa upande wangu ni kati ya kampuni bora sana maana unatumia ada kidogo kujiunga kama sh.40000 tofauti na makampini mengine yote ambayo hutumia mpaka sh.500000

Bidhaa zake hazina kemikali na zina bei ya chini sana kila mtu anaweza nunua kwa urahisi itakufanya upate pesa sana rafiki

Bidhaa zake hazijachanganywa na mafuta ya nguruwe

1.uwe na majina matatu

2.uwe na email yako

3.namba yako ya simu

UNAHITAJIKA KUWA NA MLITHI
HUYU ATARITHI BIASHARA YAKO KAMA UKIFA

AWE NA VITU VIFUATAVYO

1.majina matatu

2.email

3.namba ya simu

NANI ANAKUUNGA KATIKA KAMPUNI LA BF SUMA?

Mimi ndie ntakuunga na kampuni na tutafanya kazi kwa ushirikiano

USIHOFU:maduka ya kampuni yanapatikana karibu mikoa yote sasa hapa TANZANIA

KAMA WEWE UNAHITAJI KUBADILI MAISHA YAKO

TUWASILIANE KUPITIA NAMBA

0769601703
PIA NAPATIKANA WHATSAPP

AHSANTE SANA
TSH. 46,000 TU UTAJIRIKE
 
Samahani wadau wa connection hivi nataki kujua biashara ya uuzaji nguo inalipa kweli. Na nini kinafanyika kujitangaza au kupata wateja zaidi
 
Natafuta connection ya kuuza hii mashine. Inafuma masweta, kofia n.k
0755868463
 

Attachments

  • IMG-20190821-WA0005.jpg
    IMG-20190821-WA0005.jpg
    59.7 KB · Views: 10
  • IMG-20190819-WA0004.jpg
    IMG-20190819-WA0004.jpg
    33 KB · Views: 10
  • IMG-20190819-WA0003.jpg
    IMG-20190819-WA0003.jpg
    60.4 KB · Views: 10
JE, UNAHITAJI HUDUMA

KUSAJIL KAMPUNI
-jina la Biashara
-limited caompany
-partneship

HESABU ZA KAMPUNI(FINANCIAL STATEMENTS)

KUANDIKA MEMORANDUM

KUANDAA TENDA

VISA YA KUSAFIRIA

CRB

USAFI WA:
-Majumbani
-Viwandani
-maofisini
-hosipitalini
-shuleni
-maeneo ya jamii

TUKO NA UZOEFU WAKITOSHA

Wasiliana nasi kwa # 0788104228

USHAURI NI BURE

Popote ulipo TANZANIA tunakupa huduma.
*Klin&Brite*
 
NAOMBENI MAJIBU
Nataka kufatilia ajira ya kukatisha tiketi za mpira uwanjani. Mfano mechi ya simba na yanga, jinsi ya kupata tenda naanza wapi namalizia wapi?
 
JE, UNAHITAJI HUDUMA

KUSAJIL KAMPUNI
-jina la Biashara
-limited caompany
-partneship

HESABU ZA KAMPUNI(FINANCIAL STATEMENTS)

KUANDIKA MEMORANDUM

KUANDAA TENDA

VISA YA KUSAFIRIA

CRB

USAFI WA:
-Majumbani
-Viwandani
-maofisini
-hosipitalini
-shuleni
-maeneo ya jamii

TUKO NA UZOEFU WAKITOSHA

Wasiliana nasi kwa # 0788104228

USHAURI NI BURE

Popote ulipo TANZANIA tunakupa huduma.
Klin&Brite
Ni shingapi kufungua kampuni
Yenye mtaji wa 1M na je kampuni inaweza ikawa inamilikiwa na MTU moja tuu!?
 
Ni shingapi kufungua kampuni
Yenye mtaji wa 1M na je kampuni inaweza ikawa ina milikiwa na MTU moja tuu!?
Habari Boss.

LTD company ndiyo kampuni yenye mtaji

Garama za Brela ni kama ifuatavyo

Mtaji wa -
20,000 - 1,000,000
Garama zake ni
97,000 + 66,000 + 5,000 + 1,200 =169,200

Mtaji wa 1M - 5M
Garama zake ni
175,00 + 66,000 + 5,000 + 1,2000 =247,200

Mtaji wa 5M - 20M
Garama zake ni
260,000 + 66,000 + 5,000 + 1,2000 =332,200

Mtaji wa 20M - 50M
Garama zake ni
290,000 + 66,000 + 5,000 + 1,2000 =362,200

Mtajia wa 50M na zaidi
Garama zake no
440,000 + 66,000 + 5,000 + 1,2000 =512,200

Vitu vinavyo takiwa kufungua ltd co.
1. Memorandum
2. Vitambulisho vya NIDA
3. TIN bunafsi kwa kika mkurugenzi
4. Anuani kamili kwa kila mkurugenzi
5. e-mail na namba za simu

Lazima iwe na watu 2 na kuendelea
 
Habari Boss.

LTD company ndiyo kampuni yenye mtaji

Garama za Brela ni kama ifuatavyo

Mtaji wa -
20,000 - 1,000,000
Garama zake ni
97,000 + 66,000 + 5,000 + 1,200 =169,200

Mtaji wa 1M - 5M
Garama zake ni
175,00 + 66,000 + 5,000 + 1,2000 =247,200

Mtaji wa 5M - 20M
Garama zake ni
260,000 + 66,000 + 5,000 + 1,2000 =332,200

Mtaji wa 20M - 50M
Garama zake ni
290,000 + 66,000 + 5,000 + 1,2000 =362,200

Mtajia wa 50M na zaidi
Garama zake no
440,000 + 66,000 + 5,000 + 1,2000 =512,200

Vitu vinavyo takiwa kufungua ltd co.
1. Memorandum
2. Vitambulisho vya NIDA
3. TIN bunafsi kwa kika mkurugenzi
4. Anuani kamili kwa kila mkurugenzi
5. e-mail na namba za simu

Lazima iwe na watu 2 na kuendelea
Hiyo memorandum inatengenezwa kwa shingapi
 
Habari Boss.

LTD company ndiyo kampuni yenye mtaji

Garama za Brela ni kama ifuatavyo

Mtaji wa -
20,000 - 1,000,000
Garama zake ni
97,000 + 66,000 + 5,000 + 1,200 =169,200

Mtaji wa 1M - 5M
Garama zake ni
175,00 + 66,000 + 5,000 + 1,2000 =247,200

Mtaji wa 5M - 20M
Garama zake ni
260,000 + 66,000 + 5,000 + 1,2000 =332,200

Mtaji wa 20M - 50M
Garama zake ni
290,000 + 66,000 + 5,000 + 1,2000 =362,200

Mtajia wa 50M na zaidi
Garama zake no
440,000 + 66,000 + 5,000 + 1,2000 =512,200

Vitu vinavyo takiwa kufungua ltd co.
1. Memorandum
2. Vitambulisho vya NIDA
3. TIN bunafsi kwa kika mkurugenzi
4. Anuani kamili kwa kila mkurugenzi
5. e-mail na namba za simu

Lazima iwe na watu 2 na kuendelea
Boss umesema LTD company ndiyo company yenye mtaji? Je, kuna company zisizo na mtaji?
 
Back
Top Bottom