Pisi kali
JF-Expert Member
- Dec 31, 2019
- 1,234
- 2,535
Kama ni taasisi haina tatizo. Makubaliano tu
Kilo mia bei gani? Mchele
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama ni taasisi haina tatizo. Makubaliano tu
160,000Kilo mia bei gani? Mchele
bei gani hao kukuWakubwa kabisa
Mzigo wako uko wapi?
Sanya juu, Ngarenairobi West Kilimanjaro!Mzigo wako uko wapi?
maharage yako ni ya aina gani? na unauzia wapiNahitaji connection ya soko la nafaka maharage dengu na choroko.
tuma namba zako PMNahitaji connection ya soko la nafaka maharage dengu na choroko.
Mimi nna maziwa mtindi natural kabisa ..1lt 3000 ..5L @15000 mpaka mlangoni nakuleteaNatafuta mtu anaeuza maziwa mtindi ya kienyeji kwa bei nzuri angalau shillingi 500-600 kwa lita moja. awe mkoa wowote ule ambao una mabasi ya kuja Dar.
contact 0687886600
nahitaji wa biashara mkuu nije kuuza dar es salaamWakubwa kabisa
Mkuu kama unahitaji dagaa ninao, nauza kwa jumla kama unahitaji nicheki tufanye biasharaUnauza reja reja au jumla mkuu
Shukrani kwa kujitokeza na mim nnahitaji naomba kuja pm tafadhali.tuma namba zako PM
Natoa mikopo.Nataka mkopo wakuuu
Ni sawa, Achukue!Atauzaje kwa Dar?
Bora achukue Kibaha