THE SHADOW ONE
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 1,201
- 1,974
Nahitaji kupata masoko ya wanunuzi wa mabucha ya samaki sato,sangara,kamongo na kambare wenye uhitaji wa kuanzia kg. 100 nakuendelea kwa mikoa ya Dar ,Morogoro,Dodoma,Mbeya,Arusha,Kilimanjaro na mikoa mwingine. Samaki wanatoka kanda ya ziwa wateja wewe waaminifu.