nangwanda
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 361
- 575
Vipi mkuu bado upo na uhitajiWakuu wapi naweza nunua barakoa (mask) za jumla kwa bei nafuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi mkuu bado upo na uhitajiWakuu wapi naweza nunua barakoa (mask) za jumla kwa bei nafuu
4.3M; LIPO MBWENI DAR. 20"Bei gani?
Lipo maeneo gani?
Ungeweka na uhalisia wa picha waone.Karibu sana sabuni za maji kwa matumizi ya kuogea
Sina harufu nzuri na zinauwezo wa kukuacha ukinukia baada ya kutumia zipo aina nne Strawberry, Vanilla, lemon Na Rose
Kwa Tsh 5,000
Location Mbezi Mwisho
Karibu sana
😅😅😅 nitahitaji kujua kabila lako kwanza maana umenichekesha sana, kwamba unataka vya bei rahisi buashe.Nahitaji carton moja ya sigara wiston sport nipo mkoani fursa kwa watu wafanyao kazi viwandani hii
Sent from my TECNO Camon CX using JamiiForums mobile app
Naomba connection nikusambazie KuKu wa kienyeji wa kubwa kama una supermarket au Hotel naweza kuandaa kwa kuchinja na kusafisha, Pia kama unahitaji dagaa nicheki tufanye biashara.
S10+ bei gai?Wakuuu mimi nauza simu Original za Samsung(Mpya)jumla na Reja reja mwenye kuhitaji tuwasiliane.
Sent using Jamii Forums mobile app
Uko dar?Natafuta mwenye connection ya wanapouza CD zilizotafsiriwa kwa bei ya jumla
Naomba nitajiwe bei yake
Pia nahitaji connection wanapouza charger USB earphones flash screen protector na cover za simu kwa bei ya jumla
Sent using Jamii Forums mobile app
Idea ipi unayo?Connection ya kuanzisha channel YouTube nataka mtaalamu wenye anapenda hii idea tuungane tuone
Sent using Jamii Forums mobile app
Mafuta ya castor oil uko wanauzaje maana nataka nianze hiyo biasharaWaungwa nahitaji Connection ya Uwakala wa abishara, kama una biashara au bidhaa yako na unahitaji Wakala (Agent Commision based) mkoa wa Tanga na Wilaya zake. Mimi ni mwajiliwa huku.
Waungwa nahitaji Connection ya Uwakala wa abishara, kama una biashara au bidhaa yako na unahitaji Wakala (Agent Commision based) mkoa wa Tanga na Wilaya zake. Mimi ni mwajiliwa huku.
Vipi bado ipo? Je bei haipungui kidogo?Habari, ninauza icecream mashine kwa Tsh 2,000,000/= tu, nipo Morogoro mjini, kwa anayehitaji, tuwasiliane kwa no. 0628015647
Biashara gani unafanya?Hbr wakuuu
Nahitaji mtu nitakaeshirikiana nae kwny biashara (partner)
Kwa wakazi wa dar jinsia yyt mawasiliano #0685306663
Unajianda kwa msimu wa jua kaliVipi bado ipo ? Je bei haipungui kidogo?