Voice of Tanzania
JF-Expert Member
- Sep 23, 2018
- 2,036
- 3,107
Oya kweli rusimalize data maisha magumu haya! Mnatuleteaga na za zamani
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] haupo peke yako mkuu tupo weng tuuI cant believe my eyes,,, nimetemwaaaaa[emoji854][emoji854][emoji3][emoji3][emoji3]
Hii nchi ukiwa mnyonge utakufa na njaa😂😂
HahahAaa,ila weng wa sayans wameenda ,under 2018Hii nchi ukiwa mnyonge utakufa na njaa😂😂
hata uku afya freshers wameoneka ni vibakaa 😂😂HahahAaa,ila weng wa sayans wameenda ,under 2018
Ndo maana Mama ni mwema kuliko Magufuli.MPYA:HAYA HAPA MAJINA AJIRA MPYA ZA UALIMU NA AFYA JUNI 2023
 KUYAONA KWA URAHISI MAJINA HAYO BONYEZA HAPO CHINI ðððððððððððððð BONYEZA HAPA KUPATA MAJINA AJIRA MPYA UALIMU 2023 ðajira m...tamisemiblog.blogspot.com
Bora Samia aiseeNdo maana Mama ni mwema kuliko Magufuli.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mkuu mpe pole ahsee siwapendi walimu ila lugha ulotumia nimepata simanziDahhh..yaani kuna mdogo wangu kamaliza toka 2015 pale mlimani na GPA yake ya 4.2..wamekula tena kichwa..ameniambia nimuangalizie hadi nikawa natetemeka jinsi ya kumrudia na kumpa habari zisizo nzuri.
Hakuna mwenye uwezo wa kumsaidia huyu dogo (ashakuwa na familia tayari)? Dahh..nimesikitika sana.
Acha kabisa. Dogo nlikiwa naongea naye sauti haijakaa sawa.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mkuu mpe pole ahsee siwapendi walimu ila lugha ulotumia nimepata simanzi
Kaka kama.ww uligraduate 2021/2022 una bahat ukiwepo paleJinsi watu walivochinjiliwa baharini,, hawana nguvu za ku reply huu uzi tenaaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamaaan twenden tukatafute hata kaz nyngne kwan sh ngapi🥲