Uzi maalumu wa kusubiri post za ajira za TAMISEMI

๐€๐ฃ๐ข๐ซ๐š ๐Ÿ๐ฎ๐ง๐ ๐ฎ๐š ๐ฎ๐จ๐ง๐ž ๐ก๐š๐๐ข ๐Œ๐ฉ๐ฐ๐š๐ฒ๐ฎ๐ง๐ ๐ฎ ๐ฌ๐ก๐ฎ๐ฅ๐ž ๐ฒ๐š ๐’๐ž๐ค๐จ๐ง๐๐š๐ซ๐ข ๐๐€๐Œ๐๐€ 12 ๐ฆ๐ค๐จ๐š ๐ฐ๐š ๐ƒ๐จ๐๐จ๐ฆ๐š ๐‡๐€๐๐Ž
View attachment 2647086
 

Attachments

Mbona kada nyingine hakuna
 
Maabara mbona wamewaminya vibaya sana
 
Huyo mwalimu atakuja kuwa ombaomba tu kijijini kwetu
 
Maisha yana ukatili mkubwa saana
 
English language wote waliobebwa ni 2015

mimi wa 2021 Nina safar ndefu
 
Kuna jamaa kauliza leo

Wasomi wa vyuo vikuu hua wanafanya Nini baada ya kumaliza vyuo ?

Jibu: Wanasubiri PDF za Ajira Serikalini
 
Ni Mwalimu ?

Mpwayungu Village
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ