proton pump
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 6,814
- 10,104
Unasem??Mimi nimeshafua nguo na nategemea June 24 kulipoti kituo Cha kazi nikazoe mazingira. MASOMO yangu ni Swa na Hi. PDF linadondoshwa trh 14-18.
Mpwayungu Village njoo tutegeeshee hapa shemeji yangu,inawezekana awamu hii ukakumbukwaKwa wale walimu na wa afya tukutane hapa uku tukisikilizia PDF soon litashushwa hapa. Iwe tetesi ama laa karibuni wakuu. Nimesikia wiki ijayo linatema hapa pdf mishale ya tarehe 15 hapo June
Mbona kada nyingine hakuna๐๐ฃ๐ข๐ซ๐ ๐๐ฎ๐ง๐ ๐ฎ๐ ๐ฎ๐จ๐ง๐ ๐ก๐๐๐ข ๐๐ฉ๐ฐ๐๐ฒ๐ฎ๐ง๐ ๐ฎ ๐ฌ๐ก๐ฎ๐ฅ๐ ๐ฒ๐ ๐๐๐ค๐จ๐ง๐๐๐ซ๐ข ๐๐๐๐๐ 12 ๐ฆ๐ค๐จ๐ ๐ฐ๐ ๐๐จ๐๐จ๐ฆ๐ ๐๐๐๐
View attachment 2647086
Maabara mbona wamewaminya vibaya sana๐๐ฃ๐ข๐ซ๐ ๐๐ฎ๐ง๐ ๐ฎ๐ ๐ฎ๐จ๐ง๐ ๐ก๐๐๐ข ๐๐ฉ๐ฐ๐๐ฒ๐ฎ๐ง๐ ๐ฎ ๐ฌ๐ก๐ฎ๐ฅ๐ ๐ฒ๐ ๐๐๐ค๐จ๐ง๐๐๐ซ๐ข ๐๐๐๐๐ 12 ๐ฆ๐ค๐จ๐ ๐ฐ๐ ๐๐จ๐๐จ๐ฆ๐ ๐๐๐๐
View attachment 2647086
Daaah, umepata kaka? Mie nimepigwa vifutiMpwayungu Village njoo tutegeeshee hapa shemeji yangu,inawezekana awamu hii ukakumbukwa
Mwaka gan mzee masomo ganDaaah, umepata kaka? Mie nimepigwa vifuti
Miye nipo Serikalini kitambo,najaribu kumuombea shemeji yangu Mpwayungu Village naye akumbukwe mwaka huuDaaah, umepata kaka? Mie nimepigwa vifuti
SijajuaMaabara mbona wamewaminya vibaya sana
2020Mwaka gan mzee masomo gan
zipo kwenye processMbona kada nyingine hakuna
Huyo mwalimu atakuja kuwa ombaomba tu kijijini kwetu๐๐ฃ๐ข๐ซ๐ ๐๐ฎ๐ง๐ ๐ฎ๐ ๐ฎ๐จ๐ง๐ ๐ก๐๐๐ข ๐๐ฉ๐ฐ๐๐ฒ๐ฎ๐ง๐ ๐ฎ ๐ฌ๐ก๐ฎ๐ฅ๐ ๐ฒ๐ ๐๐๐ค๐จ๐ง๐๐๐ซ๐ข ๐๐๐๐๐ 12 ๐ฆ๐ค๐จ๐ ๐ฐ๐ ๐๐จ๐๐จ๐ฆ๐ ๐๐๐๐
View attachment 2647086
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] nahisi ulishaanza kumfuatiliaHuyo mwalimu atakuja kuwa ombaomba tu kijijini kwetu
Aaah mzee juz tu2020
Maisha yana ukatili mkubwa saanaDahhh..yaani kuna mdogo wangu kamaliza toka 2015 pale mlimani na GPA yake ya 4.2..wamekula tena kichwa..ameniambia nimuangalizie hadi nikawa natetemeka jinsi ya kumrudia na kumpa habari zisizo nzuri.
Hakuna mwenye uwezo wa kumsaidia huyu dogo (ashakuwa na familia tayari)? Dahh..nimesikitika sana.
Ni Mwalimu ?Dahhh..yaani kuna mdogo wangu kamaliza toka 2015 pale mlimani na GPA yake ya 4.2..wamekula tena kichwa..ameniambia nimuangalizie hadi nikawa natetemeka jinsi ya kumrudia na kumpa habari zisizo nzuri.
Hakuna mwenye uwezo wa kumsaidia huyu dogo (ashakuwa na familia tayari)? Dahh..nimesikitika sana.
WEwe lini mkuuAaah mzee juz tu