Exy
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 3,146
- 5,520
Nipo safarini kwenda kituo cha kazi!!.Unasem??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipo safarini kwenda kituo cha kazi!!.Unasem??
Sahihi wife kaomba mara SITA mwaka Jana wenzake wakapata akakosa mwaka huu kapataKuna kijana alimalza diploma 2015, english histr, alikata tamaa kabsa,alkua anasaidia fund kujenga mtaan, mungu si athuman, kaaplai mara 7, ya 8 kapata, mbinga ruvuma ,secondary
Maabara mbona wamewaminya vibaya sana
Private mwambie ajichanganye Private huko Feza Feza wanataka walimu akajimix,Hebu mpatie connection huyu jamaa..
Hongera,mwaka gani
Dahh..yaani yeye mwenyewe alikuwa anaongea hadi anataka kulia.Dah inauma sana lakini amtegemee Mungu tu
Kweli inavunja moyo. Nimetemwa. Najiona kabisa nikiweka vyeti vya nursing kabatini na kuangalia upepo mwingine
Mmhhh..nikisema ni connection sitakuwa na ushahidi..pengine ni pata potea.Tamisemi sijui wanatumia bigezo gan kuajiri Bora wale mawazir waliopita wa Tamisemi walikuwa wanaorodhesha ila huyu Kairuki sjawahi muelewa kabisa.
Tukishapata ajira si tunaruhusiwa ku left hii forum?Kwa wale walimu na wa afya tukutane hapa uku tukisikilizia PDF soon litashushwa hapa. Iwe tetesi ama laa karibuni wakuu. Nimesikia wiki ijayo linatema hapa pdf mishale ya tarehe 15 hapo June
Mshahara unatolewa kulingana na kiwango cha elimu mkuuHivi mshahara wa mwalimu wa primary ni shilingi ngapi
Kuna mtu kamaliza 2022 na ni arts,kapelekwa msingi ,wakati watu wa 2015 wapo wengi mnooTamisemi sijui wanatumia bigezo gan kuajiri Bora wale mawazir waliopita wa Tamisemi walikuwa wanaorodhesha ila huyu Kairuki sjawahi muelewa kabisa.
Wa primary school ndo inakuwaje?Mshahara unatolewa kulingana na kiwango cha elimu mkuu
Inasikitisha kwa kweliKuna mtu kamaliza 2022 na ni arts,kapelekwa msingi ,wakati watu wa 2015 wapo wengi mnoo
Mdogo wangu wa mwaka huo kwa somo hilo na Kiswahili wamemsubirisha.