Uzi maalumu wa kusubiri post za ajira za TAMISEMI

Uzi maalumu wa kusubiri post za ajira za TAMISEMI

We jamaa hamna tangazo la kureport kazini...ushaambiwa unatakiwa kwenda kureport kwenye halmashauri uliyopangiwa ndani ya siku 14 tangu post zitoke...sasa endelea kusubiri tangazo nafasi yako ijazwe
Wamesema wapi, mimi nimeona majina tuu.
 
Kigezo namba moja et kuangalia waliomaliza mapema.. ili wasifikishe miaka 45 wakakosa sifa ya kuingia ktk system.



Mkumbuke technology inabadirika.

Mkumbuke Mitaala imebadirika.



Hampimi watu kulingana na competence mnapima watu kulingana na Umri.



Na hao watumishi ndio wanaenda KUFUNDISHA Watoto wetu, hao hao wanaenda kutibu watu.
 
Kigezo namba moja et kuangalia waliomaliza mapema.. ili wasifikishe miaka 45 wakakosa sifa ya kuingia ktk system.



Mkumbuke technology inabadirika.

Mkumbuke Mitaala imebadirika.



Hampimi watu kulingana na competence mnapima watu kulingana na Umri.



Na hao watumishi ndio wanaenda KUFUNDISHA Watoto wetu, hao hao wanaenda kutibu watu.
Kila mwenye cheti anahaki ya kupata ajira
 
𝐦𝐨𝐝𝐞𝐫𝐚𝐭𝐨𝐫𝐬 𝐦𝐦𝐞𝐧𝐢𝐤𝐨𝐬𝐞𝐚 𝐬𝐚𝐧𝐚 𝐤𝐮𝐮𝐧𝐠𝐚 𝐮𝐳𝐢 𝐰𝐚𝐧𝐠𝐮 𝐡𝐮𝐦𝐮 𝐡𝐮𝐮 𝐧𝐢 𝐮𝐫𝐚𝐬𝐢𝐦𝐮
 
Back
Top Bottom