whiteskunk
JF-Expert Member
- Jul 24, 2021
- 3,904
- 9,342
Sidhani kama kuna sayansi 2015 aliyeachwa, labda haku applyItafika kipindi ndugu yangu yoyote akitaka kusomea uwalimu nitamshauri aishie level ya cheti.
maana nina dada yangu mpaka namuonea huruma since 2015 uwalimu shahada hajawahi kupata nafasi na ni sayansi.