Nominii
Member
- Nov 24, 2022
- 99
- 194
Dahhh..yaani kuna mdogo wangu kamaliza toka 2015 pale mlimani na GPA yake ya 4.2..wamekula tena kichwa..ameniambia nimuangalizie hadi nikawa natetemeka jinsi ya kumrudia na kumpa habari zisizo nzuri.
Hakuna mwenye uwezo wa kumsaidia huyu dogo (ashakuwa na familia tayari)? Dahh..nimesikitika sana.
na zijazo watasem kuanzia 2016 automatic dogo atakua nje ya reli