We jamaa hamna tangazo la kureport kazini...ushaambiwa unatakiwa kwenda kureport kwenye halmashauri uliyopangiwa ndani ya siku 14 tangu post zitoke...sasa endelea kusubiri tangazo nafasi yako ijazweAtapata tangazo la ku report kazini ajira za walimu naomba share hapa
Wamesema wapi, mimi nimeona majina tuu.We jamaa hamna tangazo la kureport kazini...ushaambiwa unatakiwa kwenda kureport kwenye halmashauri uliyopangiwa ndani ya siku 14 tangu post zitoke...sasa endelea kusubiri tangazo nafasi yako ijazwe
Utaratibu unapewa wewe unauliza wamesema wapi...endelea kusubiriWamesema wapi, mimi nimeona majina tuu.
Kila mwenye cheti anahaki ya kupata ajiraKigezo namba moja et kuangalia waliomaliza mapema.. ili wasifikishe miaka 45 wakakosa sifa ya kuingia ktk system.
Mkumbuke technology inabadirika.
Mkumbuke Mitaala imebadirika.
Hampimi watu kulingana na competence mnapima watu kulingana na Umri.
Na hao watumishi ndio wanaenda KUFUNDISHA Watoto wetu, hao hao wanaenda kutibu watu.
Nimeliona shukrani mkuuWe jamaa hamna tangazo la kureport kazini...ushaambiwa unatakiwa kwenda kureport kwenye halmashauri uliyopangiwa ndani ya siku 14 tangu post zitoke...sasa endelea kusubiri tangazo nafasi yako ijazwe
Na unategemea ujibiwe kabisa...bila kusema Certificate ya niniMshahara wa certificate plz ?
Diploma mkuuNursing level ipi nikupe connection
Late response, usaili umeshafanyika, ilikuw ni kwenye private hosp kureplace hawa waliochukuliwa na tamisemiDiploma mkuu
Na unategemea ujibiwe kabisa...bila kusema Certificate ya nini
Title inaongelea ajira za Tamisemi...au tamisemi wameajiri walimu tu. Shame on you.Huu ni uzi wa Walimu sasa Kama hujaelewa Kaa pembeni
Mwakani mkuuTAMISEMI lini watatangaza Tena ajira za ualimu na afya kwa anayejua wadau?????🙃😉
KhaaaMwakani mkuu