NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
Nimejikuta naanzisha huu Uzi maalumu baada ya kusikiliza kituo Fulani chenye wachambuzi wa mchongo wao ni kuponda timu hata ifanye mazuri gani.
Kiufupi hawajui chochote kuhusu mpira/football.
Wakuu njooni hapa mtaje wachambuzi makini na vituo vyao ili tukawasikilize wanaojua kuchambua mpira na siyo kuchambua wachezaji au timu kwa chuki na uzandiki.
Nawasilisha.
Kiufupi hawajui chochote kuhusu mpira/football.
Wakuu njooni hapa mtaje wachambuzi makini na vituo vyao ili tukawasikilize wanaojua kuchambua mpira na siyo kuchambua wachezaji au timu kwa chuki na uzandiki.
Nawasilisha.