Uzi maalumu wa kutaja wachambuzi makini wenye weledi wa soka na vituo vyao wanavyofanya kazi ili tukawasikilize

Uzi maalumu wa kutaja wachambuzi makini wenye weledi wa soka na vituo vyao wanavyofanya kazi ili tukawasikilize

Hivi huyu ndiye yule alikuwaga kijana mdogo miaka ya 2000's akawa anacheza mpira nje ya nchi na kuna kipindi fulani alishirikishwaga kwenye tangazo la cement akiwa bado mdogo zilizochapiwa na cement toka kampuni tofauti. akipiga mpira kwenye nyumba mbili tofauti Nyumba moja haikuwa imetengenezwa kwa cement imara baada ya kupiga mpira cement ikabanduka na nyingine ilitengenezwa kwa cement imara ya kampuni iliyompa tangazo baada ya kupiga mpira, cement ilikuwa imara kwenye ukuta wa nyumba.
Ngoja na Mimi nisubiri majibu

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Wachambuzi 10 wa mpira Bora kwa sasa, sita taja vituo vyao........

1. George Ambangile.
2. Jemedari said kazumari.
3.Ramadhani MBWADUKE.
4. Nazareth Upete.
5. Abisay Steven.
6. Ibra Kasuga.
8. AMRI KIEMBA.
9. Rashid Seif.
10.Farhan kihamo.
11.mimi.

N:B.
RIP KASHASHA MTAALAM WA PHYSICAL EDUCATION..
Huyo namba mbili hakuna kitu aisee

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Nimejikuta naanzisha huu Uzi maalumu baada ya kusikiliza kituo Fulani chenye wachambuzi wa mchongo wao ni kuponda timu hata ifanye mazuri gani.

Kiufupi hawajui chochote kuhusu mpira/football.

Wakuu njooni hapa mtaje wachambuzi makini na vituo vyao ili tukawasikilize wanaojua kuchambua mpira na siyo kuchambua wachezaji au timu kwa chuki na uzandiki.

Nawasilisha.
RAMADHAN MWADUKE
RAMADHAN MWADUKE
RAMADHAN MWADUKE
RAMADHAN MWADUKE
RAMADHAN MWADUKE

Uchambuzi wa Jamaa ni balaa, No blaablaa full of statistics na mbinu timu, makocha nk. Wanazotumia

YouTube Channel: Data Sports Tv
 
RAMADHAN MWADUKE
RAMADHAN MWADUKE
RAMADHAN MWADUKE
RAMADHAN MWADUKE
RAMADHAN MWADUKE

Uchambuzi wa Jamaa ni balaa, No blaablaa full of statistics na mbinu timu, makocha nk. Wanazotumia

YouTube Channel: Data Sports Tv
Sawa mkuu ngoja tumsikilize

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Mchambuzi wa mpira nchi hii ni mmoja tu George ambagile wengine wote waliobaki ni watangazaji tu au ma reporter wa habari.

George ambagile yeye amejikita ktk kuuchambua mpira tu kiufundi na hafanyi siasa za mpira.

George ambagile ndo mchambuzi pekee anaeweza kuichambua game baada ya dk 90 kiufundi na ukaelewa mbinu zilizokuwa zinatumika uwanjani ila hawa wengine hawana jicho la uchambuzi wa game na hawajui kuchambua mpira.
 
Back
Top Bottom