Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nenda maduka wanayouza madawa ya kisunna zimejaa hizoHyo namba 2 inapatikana wapi jamani
😄 sijawahi ata kuyaona jiji dar nielekeze basiNenda maduka wanayouza madawa ya kisunna zimejaa hizo
Auhifadhi wapi?Nimeuliza kama ni muislam nimpe tiba ya kidini iliyoruhusiwa na ya uhakika, "aandike sura al imran mstari wa 7 na 8 auifadhi ataona maajabu yake!
Uzungushie nailon mara saba uwe nayo sambambaAuhifadhi wapi?
Naomba unitag pleaseKwa Wale wanajamvi wanaopoteza hela yao kutafuta dawa ya kukuza maumbile, nitakuja kuwapa code hapa...
Ingawa ni vyema utumie ukiwa na tatizo hilo kweli usifanye tu alimradi umefanya
Lete suluhisho hapa mkuu tupate ujuziUpaswi kuteswa magonjwa na Nguvu giza
Jifunze elimu kuhusu miti uwe huruLete suluhisho hapa mkuu tupate ujuzi
Total truth everything has reason for its being!Jifunze elimu kuhusu miti uwe huru
Zebra huwa ni wanene kweli mpaka wanastaajabisha na wanakula majani tu na maji.Of course hayo majani yatakuwa ni tiba, ngombe wakila wanakuwa sawa sana
Sasa hivi dunia ni kijiji ndugu yangu,kama ukihitaji inakufikia popote ulipo.Msaada mkuu kwetu huku iyo miti haipo. Tunapateje hiyo Dawa.
Malaria haikai kwenye mwili ambao imenywewa hiyo kituUnaitwa mzungwa