Uzi maalumu wa Mimea Tiba inayotuzunguka majumbani

Uzi maalumu wa Mimea Tiba inayotuzunguka majumbani

Jamani ni sisi ambao tuna nuka mdomo tunafanyaje.sasa na hatuwezi kuongea sana tukiachama tu ni kosa [emoji23][emoji23][emoji23]
Nenda hospital waangalie ini na Figo maana wakati mwingine harufu inatokea ndani, kama hakuna tatizo angalia tonsil stones kinywani huwa ni sababu na kama zipo zitoe....

Hakikisha unapenga kamasi vizuri na kutoa makohozi yote asubuhi wakati wa asubuhi ukipiga mswaki haswa kwa wale wanaoamka wanamafua kila siku.....

Tafuna karafuu na tangawizi mara kwa mara, ama kunywa mchanganyiko wake

Isipofaa jaribu kufika tena hospital muone ENT specialist utasaidika zaidi
 
[emoji28][emoji28][emoji28] mambo ni mengi, ila wakati mwingine lifestyle inachangia pia....

Sasa unakuta bwana mdg lakini anakunywa mvinyo na msosi wa kubahatisha kwann usiharibike aisee....
Hakuna kitu mbaya kama kupoteza tumaini maishani,
Huku aged wakiuogopa uzee kwa kufanya mazoezi fulani, kule vijana wakiuita uzee kwa kasi ya hatari kwa kula ugoro, value, milungi, doublekk na ya hovyo!
 
Jambo jingine pia wadau, ni hawa wezi hasa hasa wanaoiba/kupora majumbani kwa namna moja ama nyingine wanarudisha maisha ya watu nyuma sana kiuchumi.

Na kwa ujumla hawa watu hawafai kabisa, sasa kama kuna namna ya kufanya mfano; wasiwe na wazo kabisa kuhusu kaya/nyumba yako n.k.
Nawasilisha [emoji1666]
 
Ni kweli mifupa ya nguruwe inaondosha majini ndani ya nyumba?
Majini ni kama unasema neno Binadamu nimejaribu kukupa picha kwamba unaposema binadamu ni neno pana kuna waafrica,wazungu,wachina nk kila aina hapo ndani pia imegawanyika katika jamii,koo,makabila nk hivyo hivyo kwa majini nao neno hilo hubeba uhalisia wao ila sio mgawanyiko wao wapo wanaoogopa hiyo mifupa na wapo wasioogopa na wapo wanaokula kabisa hiyo nyama ya nguruwe inategema humo ndani kuna aina gani ya majini.

Sent from my SM-N960U using JamiiForums mobile app
 
Jambo jingine pia wadau, ni hawa wezi hasa hasa wanaoiba/kupora majumbani kwa namna moja ama nyingine wanarudisha maisha ya watu nyuma sana kiuchumi.

Na kwa ujumla hawa watu hawafai kabisa, sasa kama kuna namna ya kufanya mfano; wasiwe na wazo kabisa kuhusu kaya/nyumba yako n.k.
Nawasilisha [emoji1666]
Kwa uelewa wangu mara nyingi hapa unazungumzia mazindiko yaani vitu vya kufukia sina kumbukumbu sana kama ntakumbuka ntaleta hapa unafukia katika pembe zote za kiwanja chako.Au wenye ujuzi wa hili tofauti wataleta

Sent from my SM-N960U using JamiiForums mobile app
 
Nakuombea kwa M/Mungu upate muda utusaidie me nataman kuitwa mama jmn nimechoka hali hii[emoji22]
Ulipima hospital una tatizo gani,matatizo huwa hayafanani na dawa hivyo hivyo huwa inatakiwa ujue una tatizo lipi hasa linalosababisha usibebe ujauzito au unabeba haufikishi miezi minne nk ndio wanaotaka kukupa aina za dawa wajue wanakupa kitu sahihi

Sent from my SM-N960U using JamiiForums mobile app
 
Majini ni kama unasema neno Binadamu nimejaribu kukupa picha kwamba unaposema binadamu ni neno pana kuna waafrica,wazungu,wachina nk kila aina hapo ndani pia imegawanyika katika jamii,koo,makabila nk hivyo hivyo kwa majini nao neno hilo hubeba uhalisia wao ila sio mgawanyiko wao wapo wanaoogopa hiyo mifupa na wapo wasioogopa na wapo wanaokula kabisa hiyo nyama ya nguruwe inategema humo ndani kuna aina gani ya majini.

Sent from my SM-N960U using JamiiForums mobile app
Nimekuelewa! Ila dah hawa viumbe wasumbufu mno jaman, na utapel wa tiba yake umekua mwingi
 
Kaka ujaleta hii kitu bado niko nasubiria hapa
Madhara yake lakini endapo ukikosea steps si mazuri nenda mwenye muegea tafuta tunda lake ambalo bado linakua chanja chale mbili kwenye hilo tunda chanja chale mbili kwako kwenye dhakari kisha tumia kidole chako chukua maji yatayotoka kwenye chale za kwenye tunda pakaa kwenye chale za kwenye dhakari yako kisha baada ya sekunde kadhaa chukua damu ya kwenye chale ya dhakari yako kapakae kwenye chale za tunda weka alama tunda lako maana yake linavyokua na wewe unakua dhakari size unayotaka ikifika unatakiwa ukakate lile tunda hapa ndio muhimu na kwenye tahadhari zote hakikisha unakumbuka tunda na kulikata pindi utapotosheka na size unayotaka.

Sent from my SM-N960U using JamiiForums mobile app
 
Madhara yake lakini endapo ukikosea steps si mazuri nenda mwenye muegea tafuta tunda lake ambalo bado linakua chanja chale mbili kwenye hilo tunda chanja chale mbili kwako kwenye dhakari kisha tumia kidole chako chukua maji yatayotoka kwenye chale za kwenye tunda pakaa kwenye chale za kwenye dhakari yako kisha baada ya sekunde kadhaa chukua damu ya kwenye chale ya dhakari yako kapakae kwenye chale za tunda weka alama tunda lako maana yake linavyokua na wewe unakua dhakari size unayotaka ikifika unatakiwa ukakate lile tunda hapa ndio muhimu na kwenye tahadhari zote hakikisha unakumbuka tunda na kulikata pindi utapotosheka na size unayotaka.

Sent from my SM-N960U using JamiiForums mobile app
Mmh!! Hapa so mchezo mfano huo mti ikatokea umekatwa, hapa itakuwaje na mabadiriko huwa yanaanza kutoa kwa muda gani?
 
Mabadiliko yanaanza ukuaji wa tunda unapoendelea kila siku,hapo ndipo nimesema kunahitaji umakini wa hali ya juu hivyo unaweza kwenda na mtu unaemuamini ili kuepusha dharura ikikukuta wewe yeye awe anajua cha kufanya ili usitirike.

Sent from my SM-N960U using JamiiForums mobile app
 
Madhara yake lakini endapo ukikosea steps si mazuri nenda mwenye muegea tafuta tunda lake ambalo bado linakua chanja chale mbili kwenye hilo tunda chanja chale mbili kwako kwenye dhakari kisha tumia kidole chako chukua maji yatayotoka kwenye chale za kwenye tunda pakaa kwenye chale za kwenye dhakari yako kisha baada ya sekunde kadhaa chukua damu ya kwenye chale ya dhakari yako kapakae kwenye chale za tunda weka alama tunda lako maana yake linavyokua na wewe unakua dhakari size unayotaka ikifika unatakiwa ukakate lile tunda hapa ndio muhimu na kwenye tahadhari zote hakikisha unakumbuka tunda na kulikata pindi utapotosheka na size unayotaka.

Sent from my SM-N960U using JamiiForums mobile app
Sawa nimekuelewa kaka, tunda linatakiwa liwe la mti gani
 
Back
Top Bottom