Uzi maalumu wa Mimea Tiba inayotuzunguka majumbani

Korosho, karama au kwame, Saga Igeuke unga chemsha kwenye maji ya kiasi chukua kipande cha samaki aitwaye nguru au papa tumbukiza baada ya kuchemka vizuri kunywa supu yako husaidia kutuliza pumu aidha kuiondoa kabisa.
 
Habari wadau, naomba msaada kwa mtu anaye sumbuliwa na mafindo findo sugu/tonses amesha tumia sana dawa za hospital ila tatizo lina tulia na kujirudia
Penda kunywa chai yenye asali na tangawizi, itakusaidia sana, kuwapa nguvu mgambo namba moja, waliopo vinywani kupambana na vinavyoingia, kama first aid, wenye tiba maridhawa watakuja hapa.
 
Penda kunywa chai yenye asali na tangawizi, itakusaidia sana, kuwapa nguvu mgambo namba moja, waliopo vinywani kupambana na vinavyoingia, kama first aid, wenye tiba maridhawa watakuja hapa.
Tangu nimeanza kutumia chai ya tangawizi asali na ndimu..najisikia vizuri sana..mwili uko poa kabisa.

Pia mara moja moja huwa na tafuna punje tatu za vitunguu swaumu kila asubuhi.

Nimepunguza sana matumizi ya processed food.

#MaendeleoHayanaChama
 
Njia nyepesi ya kushinda slot machine,
°Tafuta moyo wa popo
°kitambaa cheupe cha hariri
°ubani maka
Changanya moyo na ubani, vichangamane viwe ungaunga, vifunge kwenye kitambaa cha hariri, vifukize kwa sandarusi, jifunge kwenye mkono unaobonyezea machine, utapata ukipata ni kumbuke japo chochote!
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…